Pole pole mkuu amepiga "Note" inayogusa wengi. Kwa hili asibezwe.Huyo ni gamba la kinafiki. Anna Komu anachukua jimbo hilo 2015.
Nimemfurahia bwana Mtemvu leo, ameongea vizuri.
Hana mpya,hiyo ni staili ya magambaPamoja na mambo mengine. Kapinga bajeti ya w/ardhi, ahoji kwa nini serikali inang'an'gania kuendeleza k'mboni kwa kuwahamisha watu ambao washajenga! Kwani wao hawastahili kukaa mahali pazuri? Au maeneo ya kuendeleza yameisha?
Ndani ya ccm mbunge mkweli na yupo kwa ajili ya wananchi wake ni Deo peke yake!
Nimemfurahia bwana Mtemvu leo, ameongea vizuri.
Napinga wananchi wangu wa Kigamboni
halafu nianze kwa kuchangia kwenye blablabl;aaaaaaa
shem on them
kuhamishwa kwa ajili ya mji mpya.. lakini naunga mkono hoja. Style ya wabunge wa CCM.
Hakuunga mkono hoja. Pia aliponda!Mtemvu hana jipya ni lazima ataunga mkono hoja kwani asipofanya hivyo hawa magamba watamfunga kwa kashfa ya kula fedha za DDC!!!
Mkuu@MAMC kazungumza maneno ya Point Mh Mbunge .@Dr Ndugulile ila kaitia kasoro Serikali ya inayoongozwa na Chama Chake cha CCM. kazi ipo hapo kunako uchaguzi unaokuja wa mwaka 2015.Pamoja na mambo mengine. Kapinga bajeti ya w/ardhi, ahoji kwa nini serikali inang'an'gania kuendeleza k'mboni kwa kuwahamisha watu ambao washajenga! Kwani wao hawastahili kukaa mahali pazuri? Au maeneo ya kuendeleza yameisha?