Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na mambo mengine. Kapinga bajeti ya w/ardhi, ahoji kwa nini serikali inang'an'gania kuendeleza k'mboni kwa kuwahamisha watu ambao washajenga! Kwani wao hawastahili kukaa mahali pazuri? Au maeneo ya kuendeleza yameisha?
Pamoja na mambo mengine. Kapinga bajeti ya w/ardhi, ahoji kwa nini serikali inang'an'gania kuendeleza k'mboni kwa kuwahamisha watu ambao washajenga! Kwani wao hawastahili kukaa mahali pazuri? Au maeneo ya kuendeleza yameisha?
Huyo ni gamba la kinafiki. Anna Komu anachukua jimbo hilo 2015.
Pamoja na mambo mengine. Kapinga bajeti ya w/ardhi, ahoji kwa nini serikali inang'an'gania kuendeleza k'mboni kwa kuwahamisha watu ambao washajenga! Kwani wao hawastahili kukaa mahali pazuri? Au maeneo ya kuendeleza yameisha?
mkuu wangu hapa mwanza leo hamna umeme toka asbh hadi saa hii.hivi hao magamba hujawazoea tu mkuu badae watapiga kura ya ndiooooKaongea vizuri sana ngoja tuone.....
Hana lolote hyo ameona amekosa unaibu waziri wa afya ss ameamua afunguke, kimsingi amegundua kuwa 2015 hana chake. Kuna tetesi kuwa Mpoki wa Ze Comedy anataka kugombea dhidi yake kupitia CCM.Na akibanwa baadae ataunga mkono hoja, hata kutetea madaktari wenzake ameshindwa. Shame on u NDUGULILE!!!!
No comment kwa kuwa sijamsikia huyu jamaa leo akinena ila najua ana uchungu na wana Kigamboni.