Nakumbuka Josephine Mushumbusi alipokuwa anazunguka nchini kuimarisha kambi ya "mme" wake watu walihoji, lakini wengine wakawa wakali kupinga kuhojiwa huko.
Mpaka ikabidi Kamati Kuu ya Chadema iingilie kati kumpiga marufuku.
acha uongo.kijana jifunze kutulia na fanyia utafiti wa kina unayosema.
kumbuka Dr Slaa alipokuwa akiomba kura 2010 nilizunguka nae nchi nzima,nilisimama jukwaani na kuhaidi kuwatumikia, utakuha na matusi hapa na maswali, ngoja nikujibu.
kipindi cha uchaguzi Dr aliitaji uwepi wangu kuliko wakati wowote,ndiyo wakati aliitaji maombi,malezi ya mfumo wa chakula,kutiwa moyo nazaidi ni kipindi alipata shida ya mkono hivyo ili kwenda na mda uwrpi wangu ulikuwa wa msingi.
kamati kuu ya chadema haiwezi na haijawahi kuingilia kazi zangu.toa ushahidi,unless unamuongelea Josephine mwingine.
kwa taarifa,nimeingia usiku wa jana nilikuwa Geita,kahama na nzega.
sifanyi haya kwa kutafuta ama kuimarisha kambi,hatulilii Ikulu wala hatuitafuti Ikulu tunatimiza ahadi ya kuzidi kuwaelimisha wananchi hata kama hatukuingia Ikuku.ahadi ni deni,nawiwa kufanya hivyo kwakuwa niliwaahidi akina mama.
tembelea tovuti yangu,nimekuwa mwanaharakati wa maendeleo kabla sijakutana na Dr.
nikitu kilicho ndani yangu wala sijifunzi.fanya utafiti.nilianza kuwatumikia wananchi toka nikuwa binti mdogo,sijaanza sasa;utumushi is my spirit,sasa kazi yangu imetanuka tu.sijawahi kutafuta uongozi popote.nenda kimara baruti mtaa nilioishi hapo nyuma watakwambia.
nenda mitaa ya Afrika sana watakwambia my spirit.nilifanya kwa moyo sikutamani hata ubalozi.
Naamini katika kutumia akili na nguvu alizonipa Mungu katika kufanya jambo na malipo yanayotoka juu.Leadership is given hivyo siyo jambo la kufukuzia.
sijawahi na sitegemei kutumua pesa ya chama,nafanya kazi kwa mikono yangu.stop kunifananisha na yeyote.nitabaki kuwa watofauti kwakuwa the purpose of God in me will never be the same .........
Josephine