Safari za E. Lowassa Mikoani: Anamwakilisha nani!?

Safari za E. Lowassa Mikoani: Anamwakilisha nani!?

Ufipa-Kinondoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2012
Posts
4,582
Reaction score
2,783
Wana-JF,

Nimekuwa najaribu kufikiria jinsi Mbunge wa Monduli na Waziri aliyejihuzuru kwa kashfa ya Mradi tata wa Richmond, Bw. E. Lowassa anavyotemebelea mikoa na wilaya mbalimbali hapa Tanzania. Amekuwa akijihusisha na harambee na kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo hasa inayoendeshwa na makundi ya kidini.
Katika siku za hivi karibuni, EL amejikita hata katika kukutana na wazee wa jadi. Kwa hali ilivyo safari hizi zinatumia hela nyingi sana.

Lakini unaweza kunisaidia kutafakari kidogo!
1. Hizi kazi anazofanya anafanya kama nani, mfano ni mkutano wake wa Shinyanga ambao amesikika akitoa siri za Baraza la Mawairi katika Mradi wa Maji wa Ziwa Victoria pia na mkutano na Chama cha Waendesha Boda Boda, Tabora. EL akiwa ameweka Jiwe La Msingi katika Kaburi la Mnyugumba; EL katika Tambiko
2. Nani anagharimia safari zake??? Ni chama tawala au serikali kuenzi utumishi wake wa Uwaziri Mkuu!
3. Nini hasa lengo lake kwa nchi yetu, kama hela anazotumia hazina chanzo kilichowazi?
4. Ni nani anayeanda mikutano hii ya kumkutanisha na wananchi? CCM! Serikali!

Naomba ufikiri kwa kina kabla hujajibu.



 
Mkuu,
Kama issue ni urais, kwani anatumia hela ya nani katika mizunguko hiyo? Kwani ameteuliwa na chama chake kugombea au ni mgombea binafsi?
 
Hutakiwi kufikiri.its only a common sense 2 b used!he wont make it!
 
Jamani lowassa anawanyima sana usingizi? Kwani kamchangisha nani pesa kwa ajili ya mikutano yake?
Ukitaka kujua lowassa ni jembe basia angalia wanaomchukia,yeye jamaa hata siku moja hutamsikia anamtaja mtu yoyote au kumshutumu yoyote Yule lakini watu hawalali kwa ajili ya lowassa,subiri jembe liingie magogoni ndio mtajua kama anafaa au hafai,cc Pasco
 
Last edited by a moderator:
Jamani lowassa anawanyima sana usingizi? Kwani kamchangisha nani pesa kwa ajili ya mikutano yake?
Ukitaka kujua lowassa ni jembe basia angalia wanaomchukia,yeye jamaa hata siku moja hutamsikia anamtaja mtu yoyote au kumshutumu yoyote Yule lakini watu hawalali kwa ajili ya lowassa,subiri jembe liingie magogoni ndio mtajua kama anafaa au hafai,cc Pasco
Mkuu Ngongoseke, baeleze baelewe!.

Tuendeleze kazi hii
Wakuu, hii ni EL obsession or Elomania is good!, haijalishi anatajwa kwa mazuri au mabaya, kinachomater ni jina, inamaani EL ni very popular!, endeeleni kumpaisha kwa kumtaja taja kila kukicha, hili jina mwanzo lilikuwa singo tuu, sasa ni korasi.
Pasco
 
Nakumbuka Josephine Mushumbusi alipokuwa anazunguka nchini kuimarisha kambi ya "mme" wake watu walihoji, lakini wengine wakawa wakali kupinga kuhojiwa huko.

Mpaka ikabidi Kamati Kuu ya Chadema iingilie kati kumpiga marufuku.
 
Inaonekana Lowassa anawauma watu sana. Mwacheni mwenzenu aendeleee kujisafishia njia ya kwenda Jengo Jeupe. Wakati nyie mnalilia tu na kumsema sana, yeye amekaa kimya anaendelea kuchanja mbuga. Sasa hivi watanzania, wanajua vizuri nani ni mpiga porojo tu nani ni mpiga kazi. Ikifika 2015 hawatapata shida kupiga kura.
 
jana nilianzisha uzi hapa jf,kwnn kila siku jf ni lowasa,lowasa,lowasa tu?cikupata majibu,hili jembe la kaskazn kwakweli limewashikw wapnzan wake pabaya,huyu mmasai hapigi kelele we utamtukan sana,wengn wamedirik kumuombea mabaya,jama ye anachanja mbuga,kwa taarif nikwamb tu hyu mzee dam ya yesu ndo inayo muongoza,
 
Jina la EL sasa ni koras humu jf, endeleeni kumpaisha hadi jumba jeupe tutamuingiza!, na kwa vile anakuwa amepaishwa juu sana, mule ndani ataingilia kutoka juu kwa kufanya kutua!.
Pasco

Mkuu, mambo ya msingi lazima tuyaangalie kama Watanzania. Ina maana, ameshateuliwa kugombea urais kupitia chama gani?


Jamani lowassa anawanyima sana usingizi? Kwani kamchangisha nani pesa kwa ajili ya mikutano yake?
Ukitaka kujua lowassa ni jembe basia angalia wanaomchukia,yeye jamaa hata siku moja hutamsikia anamtaja mtu yoyote au kumshutumu yoyote Yule lakini watu hawalali kwa ajili ya lowassa,subiri jembe liingie magogoni ndio mtajua kama anafaa au hafai,cc Pasco
Nadhani kutochangisha pesa kama unafikiri tofauti na wengine, inatakiwa ujiulize, anazitoa wa wapi na ili iweje!

Tatizo lako hasa ni ini.?
Kwa upeo wangu, nahitaji kufahamu mambo ya msingi kwa nchi yangu hasa kama kijana.

Inaonekana Lowassa anawauma watu sana. Mwacheni mwenzenu aendeleee kujisafishia njia ya kwenda Jengo Jeupe. Wakati nyie mnalilia tu na kumsema sana, yeye amekaa kimya anaendelea kuchanja mbuga. Sasa hivi watanzania, wanajua vizuri nani ni mpiga porojo tu nani ni mpiga kazi. Ikifika 2015 hawatapata shida kupiga kura.
Mkuu unawezajua kwanini anatumia hela yake na sio ya chama. Pia, umempa nchi kama unavyosema. nini matokeo yake
 
jana nilianzisha uzi hapa jf,kwnn kila siku jf ni lowasa,lowasa,lowasa tu?cikupata majibu,hili jembe la kaskazn kwakweli limewashikw wapnzan wake pabaya,huyu mmasai hapigi kelele we utamtukan sana,wengn wamedirik kumuombea mabaya,jama ye anachanja mbuga,kwa taarif nikwamb tu hyu mzee dam ya yesu ndo inayo muongoza,

Yesu gani?? Huyu huyu wa Nazareth mwana wa Mungu au?
 
Njaa na tamaa itaua wengi,inapofusha,inatia kila aina ya dysfunction katika mwili wa manaadamu!!!!!!

Mnajitia aibu sana kwa kukataa kutumia akili zenu!!!!!
 
Wana-JF,

Nimekuwa najaribu kufikiria jinsi Mbunge wa Monduli na Waziri aliyejihuzuru kwa kashfa ya Mradi tata wa Richmond, Bw. E. Lowassa anavyotemebelea mikoa na wilaya mbalimbali hapa Tanzania. Amekuwa akijihusisha na harambee na kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo hasa inayoendeshwa na makundi ya kidini.
Katika siku za hivi karibuni, EL amejikita hata katika kukutana na wazee wa jadi. Kwa hali ilivyo safari hizi zinatumia hela nyingi sana.

Lakini unaweza kunisaidia kutafakari kidogo!
1. Hizi kazi anazofanya anafanya kama nani, mfano ni mkutano wake wa Shinyanga ambao amesikika akitoa siri za Baraza la Mawairi katika Mradi wa Maji wa Ziwa Victoria pia na mkutano na Chama cha Waendesha Boda Boda, Tabora. EL akiwa ameweka Jiwe La Msingi katika Kaburi la Mnyugumba; EL katika Tambiko
2. Nani anagharimia safari zake??? Ni chama tawala au serikali kuenzi utumishi wake wa Uwaziri Mkuu!
3. Nini hasa lengo lake kwa nchi yetu, kama hela anazotumia hazina chanzo kilichowazi?
4. Ni nani anayeanda mikutano hii ya kumkutanisha na wananchi? CCM! Serikali!

Naomba ufikiri kwa kina kabla hujajibu.


Mpaka tulipofika, Lowasa ni threat zaidi kwa CCM yenyewe kuliko vyama vya upinzani. Baadhi ya maoni yanaakisi kuwa Lowasa ni hatari kwa wapinzani lakini ukweli ni kuwa Lowasa wanaoumia zaidi ni Kambi ya Membe na Kambi ya Sitta. Sioni sababu kwa nini Wapinzani wataharuki kwa mbwembwe za Lowasa maana mwisho wa siku wapinzani watalazimika kupambana na mteule wa CCM hata kama ni Lowasa anayewatesa baadhi ya wanaCCM ama mwingine yeyote.

Kwa sasa Lowasa aendelee kuwatimulia vumbi washindani wenzake ndani ya CCM tuone itakuwaje
 
jana nilianzisha uzi hapa jf,kwnn kila siku jf ni lowasa,lowasa,lowasa tu?cikupata majibu,hili jembe la kaskazn kwakweli limewashikw wapnzan wake pabaya,huyu mmasai hapigi kelele we utamtukan sana,wengn wamedirik kumuombea mabaya,jama ye anachanja mbuga,kwa taarif nikwamb tu hyu mzee dam ya yesu ndo inayo muongoza,

Damu ya Yesu na matunguli wapi na wapi? Labda unamaanisha damu za watu. Urais asahau
 
Jina la EL sasa ni koras humu jf, endeleeni kumpaisha hadi jumba jeupe tutamuingiza!, na kwa vile anakuwa amepaishwa juu sana, mule ndani ataingilia kutoka juu kwa kufanya kutua!.
Pasco

Hahaa! #TeamLowasa

Naona unajiandAa kuwa Afisa Habari wa Ikulu.

Mkuu na Mimi usinisahau kwenye Ufalme wenu, Maana na Mimi namuunga mkono huyu Lwaiganani hasa kwenye sera yake ya ELIMU KWANZA.

Mkuu 2015 nitakuwa naitwa Kibanga OLE Ampiga Mklolone.
Pasco
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom