Kanali mwime
Member
- May 5, 2018
- 71
- 171
Wakuu as salaam aleikum,
Nimejiunga JF ili nipate wadau wazoefu na hii safari yangu ya SA adventure natumia njia ya barabara nitasafiri na taqwa hapo kesho nikitokea Ubungo mpaka Lusaka.
Sijawai kufika, elimu yangu darasa la saba kingereza najua pia siendi kujiunga na Watanzania walioshindikana huko.
Nina pesa ya kujikimu wakati natafuta kazi sina mwenyeji nilizaliwa kupambana, kila la kheri wakuu mwenye kuniongezea ushauri nitashukuru
Nimejiunga JF ili nipate wadau wazoefu na hii safari yangu ya SA adventure natumia njia ya barabara nitasafiri na taqwa hapo kesho nikitokea Ubungo mpaka Lusaka.
Sijawai kufika, elimu yangu darasa la saba kingereza najua pia siendi kujiunga na Watanzania walioshindikana huko.
Nina pesa ya kujikimu wakati natafuta kazi sina mwenyeji nilizaliwa kupambana, kila la kheri wakuu mwenye kuniongezea ushauri nitashukuru