Safari Yangu ya Masters, Changamoto na Ushindi

Safari Yangu ya Masters, Changamoto na Ushindi

ranchoboy

Member
Joined
Feb 22, 2022
Posts
61
Reaction score
94
Mwaka juzi, kama mwezi wa kumi, nilikuja hapa JamiiForums kuomba ushauri kuhusu kusoma Masters mara tu baada ya kumaliza Degree yangu ya kwanza.
Asilimia kubwa ya wadau waliniponda.
Baadhi waliniambia, “Another jobless”, wengine, “Degree ya kwanza haijakulipa, unatafuta nyingine?”

Lakini kulikuwa na watu baadhi na mmoja wao namkumbuka , anaitwa HollySpirit walinipa moyo hadi nikajihisi tena kuwa mtu. Hata kwenye familia yangu wengine walipinga, ndugu pia walikataa. Lakini mzee wangu hakujali – akanirudisha shule.
Changamoto zilikuwa nyingi. Kusoma Masters bila ajira si jambo rahisi, hasa ukiwa na wenzako wenye check number vyeo na mishahara, na wewe huna lolote kiukweli kejeri zilikuwa nyingi sana wengine waliona kama tunapoteza muda kwa sababu ya hali ya sasa ya ajira nchini. Changamoto zilikuwa nyingi ikiwemo Kukosa hela ya kula, hata kulala njaa kwa sababu wazazi nao wanamajukumu mengi pia utu uzima sometime aibu kuomba omba hela, Kutoka geto saa 12 asubuhi na kurudi saa 4 usiku nikisoma kwa bidii. Nilijua haya yote ni sehemu ya njia ya mafanikio. Basi bwana Mungu si athumani alisikia maombi yangu na bidii yangu akaiona – nikamaliza mwaka wa kwanza ( coursework)na GPA ya 4.3 . Baba yangu alifurahi sana kwa kweri. Kisha mwezi wa kumi mwaka jana, dunia yangu ilibadilika. Baba yangu – mtu aliyekuwa nguzo yangu – alifariki. Nilihisi nimeanguka. Nilifikiria kuacha masomo. Lakini marafiki walinitia moyo. Wengine waliniahidi kuchangia ada yangu. Niliona wazi Mungu hutuma watu wake mahali anapotaka. Baada ya hayo kupita mambo yalikaa sawa Niliendelea na research. Bila kutarajia, mwezi uliopita nikaitwa kazini. Huzuni pekee – baba yangu hajaona matunda kwenye mti alioupanda mwenyewe. Lakini naendelea kwa heshima yake.Leo Nakaribia kukamilisha publications zangu. Siku moja nitazileta hapa JamiiForums kama ushuhuda wa kwamba
Hata ukiwa umedharauliwa, ukiwa na njaa, ukiwa na upweke – ukiendelea kusonga mbele, milango itafunguka.
Funzo
Usikubali maoni ya watu yakupangie maisha. Changamoto zako ni mbegu za ushindi wako. Marafiki wa kweli hujitokeza wakati wa dhoruba. Mungu hufanya mambo kwa wakati wake, bila kutarajia. Uvumilivu ni urithi wa mashujaa.

Mwisho wa thread.
Kwa yeyote anayepitia giza sasa – endelea kutembea. Asubuhi inakuja. 🌅
 
Mwaka juzi, kama mwezi wa kumi, nilikuja hapa JamiiForums kuomba ushauri kuhusu kusoma Masters mara tu baada ya kumaliza Degree yangu ya kwanza.
Asilimia kubwa ya wadau waliniponda.
Baadhi waliniambia, “Another jobless”, wengine, “Degree ya kwanza haijakulipa, unatafuta nyingine?”

Lakini kulikuwa na watu baadhi na mmoja wao namkumbuka , anaitwa HollySpirit walinipa moyo hadi nikajihisi tena kuwa mtu. Hata kwenye familia yangu wengine walipinga, ndugu pia walikataa. Lakini mzee wangu hakujali – akanirudisha shule.
Changamoto zilikuwa nyingi. Kusoma Masters bila ajira si jambo rahisi, hasa ukiwa na wenzako wenye check number vyeo na mishahara, na wewe huna lolote kiukweli kejeri zilikuwa nyingi sana wengine waliona kama tunapoteza muda kwa sababu ya hali ya sasa ya ajira nchini. Changamoto zilikuwa nyingi ikiwemo Kukosa hela ya kula, hata kulala njaa kwa sababu wazazi nao wanamajukumu mengi pia utu uzima sometime aibu kuomba omba hela, Kutoka geto saa 12 asubuhi na kurudi saa 4 usiku nikisoma kwa bidii. Nilijua haya yote ni sehemu ya njia ya mafanikio. Basi bwana Mungu si athumani alisikia maombi yangu na bidii yangu akaiona – nikamaliza mwaka wa kwanza ( coursework)na GPA ya 4.3 . Baba yangu alifurahi sana kwa kweri. Kisha mwezi wa kumi mwaka jana, dunia yangu ilibadilika. Baba yangu – mtu aliyekuwa nguzo yangu – alifariki. Nilihisi nimeanguka. Nilifikiria kuacha masomo. Lakini marafiki walinitia moyo. Wengine waliniahidi kuchangia ada yangu. Niliona wazi Mungu hutuma watu wake mahali anapotaka. Baada ya hayo kupita mambo yalikaa sawa Niliendelea na research. Bila kutarajia, mwezi uliopita nikaitwa kazini. Huzuni pekee – baba yangu hajaona matunda kwenye mti alioupanda mwenyewe. Lakini naendelea kwa heshima yake.Leo Nakaribia kukamilisha publications zangu. Siku moja nitazileta hapa JamiiForums kama ushuhuda wa kwamba
Hata ukiwa umedharauliwa, ukiwa na njaa, ukiwa na upweke – ukiendelea kusonga mbele, milango itafunguka.
Funzo
Usikubali maoni ya watu yakupangie maisha. Changamoto zako ni mbegu za ushindi wako. Marafiki wa kweli hujitokeza wakati wa dhoruba. Mungu hufanya mambo kwa wakati wake, bila kutarajia. Uvumilivu ni urithi wa mashujaa.

Mwisho wa thread.
Kwa yeyote anayepitia giza sasa – endelea kutembea. Asubuhi inakuja. 🌅
Hongera sana mkuu
 
Hongera kiongozi...nimeingia JF wakati sina hata degree.

Hizo changamoto ulizopitia ni kawaida,sema kuna mambo yanatakiwa yawe binafsi na mengine ya ku share
.Lengo ni kuogopa hizo projection za watu (negative energy) ,katika jamii kama za kwetu ambako ni poor country ,we expect kunakua na negative energy nyingi kama discouragement ,envils etc
 
Elimu haina mwisho soma kadri fursa inapotokea, humu wajinga wengi wakiwa na kigari na kinyumba na hajasoma anaona wenye elimu wote takataka wakati akiumwa anaenda hospital
 
Maisha siku zote ni darasa na hapo hapo ni daraja, kwaiyo ni wewe kujifunza na kushirikiana na wale wote wanaokuja kwako aidha kwa kufahamiana na kuzaliwa nao...
 
Mwaka juzi, kama mwezi wa kumi, nilikuja hapa JamiiForums kuomba ushauri kuhusu kusoma Masters mara tu baada ya kumaliza Degree yangu ya kwanza.
Asilimia kubwa ya wadau waliniponda.
Baadhi waliniambia, “Another jobless”, wengine, “Degree ya kwanza haijakulipa, unatafuta nyingine?”

Lakini kulikuwa na watu baadhi na mmoja wao namkumbuka , anaitwa HollySpirit walinipa moyo hadi nikajihisi tena kuwa mtu. Hata kwenye familia yangu wengine walipinga, ndugu pia walikataa. Lakini mzee wangu hakujali – akanirudisha shule.
Changamoto zilikuwa nyingi. Kusoma Masters bila ajira si jambo rahisi, hasa ukiwa na wenzako wenye check number vyeo na mishahara, na wewe huna lolote kiukweli kejeri zilikuwa nyingi sana wengine waliona kama tunapoteza muda kwa sababu ya hali ya sasa ya ajira nchini. Changamoto zilikuwa nyingi ikiwemo Kukosa hela ya kula, hata kulala njaa kwa sababu wazazi nao wanamajukumu mengi pia utu uzima sometime aibu kuomba omba hela, Kutoka geto saa 12 asubuhi na kurudi saa 4 usiku nikisoma kwa bidii. Nilijua haya yote ni sehemu ya njia ya mafanikio. Basi bwana Mungu si athumani alisikia maombi yangu na bidii yangu akaiona – nikamaliza mwaka wa kwanza ( coursework)na GPA ya 4.3 . Baba yangu alifurahi sana kwa kweri. Kisha mwezi wa kumi mwaka jana, dunia yangu ilibadilika. Baba yangu – mtu aliyekuwa nguzo yangu – alifariki. Nilihisi nimeanguka. Nilifikiria kuacha masomo. Lakini marafiki walinitia moyo. Wengine waliniahidi kuchangia ada yangu. Niliona wazi Mungu hutuma watu wake mahali anapotaka. Baada ya hayo kupita mambo yalikaa sawa Niliendelea na research. Bila kutarajia, mwezi uliopita nikaitwa kazini. Huzuni pekee – baba yangu hajaona matunda kwenye mti alioupanda mwenyewe. Lakini naendelea kwa heshima yake.Leo Nakaribia kukamilisha publications zangu. Siku moja nitazileta hapa JamiiForums kama ushuhuda wa kwamba
Hata ukiwa umedharauliwa, ukiwa na njaa, ukiwa na upweke – ukiendelea kusonga mbele, milango itafunguka.
Funzo
Usikubali maoni ya watu yakupangie maisha. Changamoto zako ni mbegu za ushindi wako. Marafiki wa kweli hujitokeza wakati wa dhoruba. Mungu hufanya mambo kwa wakati wake, bila kutarajia. Uvumilivu ni urithi wa mashujaa.

Mwisho wa thread.
Kwa yeyote anayepitia giza sasa – endelea kutembea. Asubuhi inakuja. 🌅
Hongera sana👏👏🎊 lakin hapo ulipo sema usikubali maoni ya mtu siyo sawa kabisa.

Mtu anakushauri kutokana na uzoefu wake wapo ambao wa pita huko ulipo pita na wakafanikiwa pia wapo ambao awajafanikiwa na walikuwa hawataki wew hupoteze muda na hela kwa kusoma tena kwa sababu wao walisoma lakini bado hawajafanikiwa mpaka leo.

Kwa hiyo ushauri ni kitu cha muhimu sana ndio maana ata wew ulileta uzi huku kabla ya kwenda kuchukua hiyo shahada yako ya uzamili .

Wew mshukuru mungu kwa sababu wapo walio kosa wew ndio ukapata . Siyo kuja kulaumu watu walio kuwa wanakushauri usiende kuchukua hiyo shahada ya pili .
 
Mwaka juzi, kama mwezi wa kumi, nilikuja hapa JamiiForums kuomba ushauri kuhusu kusoma Masters mara tu baada ya kumaliza Degree yangu ya kwanza.
Asilimia kubwa ya wadau waliniponda.
Baadhi waliniambia, “Another jobless”, wengine, “Degree ya kwanza haijakulipa, unatafuta nyingine?”

Lakini kulikuwa na watu baadhi na mmoja wao namkumbuka , anaitwa HollySpirit walinipa moyo hadi nikajihisi tena kuwa mtu. Hata kwenye familia yangu wengine walipinga, ndugu pia walikataa. Lakini mzee wangu hakujali – akanirudisha shule.
Changamoto zilikuwa nyingi. Kusoma Masters bila ajira si jambo rahisi, hasa ukiwa na wenzako wenye check number vyeo na mishahara, na wewe huna lolote kiukweli kejeri zilikuwa nyingi sana wengine waliona kama tunapoteza muda kwa sababu ya hali ya sasa ya ajira nchini. Changamoto zilikuwa nyingi ikiwemo Kukosa hela ya kula, hata kulala njaa kwa sababu wazazi nao wanamajukumu mengi pia utu uzima sometime aibu kuomba omba hela, Kutoka geto saa 12 asubuhi na kurudi saa 4 usiku nikisoma kwa bidii. Nilijua haya yote ni sehemu ya njia ya mafanikio. Basi bwana Mungu si athumani alisikia maombi yangu na bidii yangu akaiona – nikamaliza mwaka wa kwanza ( coursework)na GPA ya 4.3 . Baba yangu alifurahi sana kwa kweri. Kisha mwezi wa kumi mwaka jana, dunia yangu ilibadilika. Baba yangu – mtu aliyekuwa nguzo yangu – alifariki. Nilihisi nimeanguka. Nilifikiria kuacha masomo. Lakini marafiki walinitia moyo. Wengine waliniahidi kuchangia ada yangu. Niliona wazi Mungu hutuma watu wake mahali anapotaka. Baada ya hayo kupita mambo yalikaa sawa Niliendelea na research. Bila kutarajia, mwezi uliopita nikaitwa kazini. Huzuni pekee – baba yangu hajaona matunda kwenye mti alioupanda mwenyewe. Lakini naendelea kwa heshima yake.Leo Nakaribia kukamilisha publications zangu. Siku moja nitazileta hapa JamiiForums kama ushuhuda wa kwamba
Hata ukiwa umedharauliwa, ukiwa na njaa, ukiwa na upweke – ukiendelea kusonga mbele, milango itafunguka.
Funzo
Usikubali maoni ya watu yakupangie maisha. Changamoto zako ni mbegu za ushindi wako. Marafiki wa kweli hujitokeza wakati wa dhoruba. Mungu hufanya mambo kwa wakati wake, bila kutarajia. Uvumilivu ni urithi wa mashujaa.

Mwisho wa thread.
Kwa yeyote anayepitia giza sasa – endelea kutembea. Asubuhi inakuja. 🌅
Ok whatever you guy have gone through, nakushauri kuanzia sasa kilichobaki ubaki nacho wala usije kukileta public tena. Ombi langu ni Mungu akutangulie katika elimu yako na mafanikio mema katika mapambano ya maisha.
 
Mwaka juzi, kama mwezi wa kumi, nilikuja hapa JamiiForums kuomba ushauri kuhusu kusoma Masters mara tu baada ya kumaliza Degree yangu ya kwanza.
Asilimia kubwa ya wadau waliniponda.
Baadhi waliniambia, “Another jobless”, wengine, “Degree ya kwanza haijakulipa, unatafuta nyingine?”

Lakini kulikuwa na watu baadhi na mmoja wao namkumbuka , anaitwa HollySpirit walinipa moyo hadi nikajihisi tena kuwa mtu. Hata kwenye familia yangu wengine walipinga, ndugu pia walikataa. Lakini mzee wangu hakujali – akanirudisha shule.
Changamoto zilikuwa nyingi. Kusoma Masters bila ajira si jambo rahisi, hasa ukiwa na wenzako wenye check number vyeo na mishahara, na wewe huna lolote kiukweli kejeri zilikuwa nyingi sana wengine waliona kama tunapoteza muda kwa sababu ya hali ya sasa ya ajira nchini. Changamoto zilikuwa nyingi ikiwemo Kukosa hela ya kula, hata kulala njaa kwa sababu wazazi nao wanamajukumu mengi pia utu uzima sometime aibu kuomba omba hela, Kutoka geto saa 12 asubuhi na kurudi saa 4 usiku nikisoma kwa bidii. Nilijua haya yote ni sehemu ya njia ya mafanikio. Basi bwana Mungu si athumani alisikia maombi yangu na bidii yangu akaiona – nikamaliza mwaka wa kwanza ( coursework)na GPA ya 4.3 . Baba yangu alifurahi sana kwa kweri. Kisha mwezi wa kumi mwaka jana, dunia yangu ilibadilika. Baba yangu – mtu aliyekuwa nguzo yangu – alifariki. Nilihisi nimeanguka. Nilifikiria kuacha masomo. Lakini marafiki walinitia moyo. Wengine waliniahidi kuchangia ada yangu. Niliona wazi Mungu hutuma watu wake mahali anapotaka. Baada ya hayo kupita mambo yalikaa sawa Niliendelea na research. Bila kutarajia, mwezi uliopita nikaitwa kazini. Huzuni pekee – baba yangu hajaona matunda kwenye mti alioupanda mwenyewe. Lakini naendelea kwa heshima yake.Leo Nakaribia kukamilisha publications zangu. Siku moja nitazileta hapa JamiiForums kama ushuhuda wa kwamba
Hata ukiwa umedharauliwa, ukiwa na njaa, ukiwa na upweke – ukiendelea kusonga mbele, milango itafunguka.
Funzo
Usikubali maoni ya watu yakupangie maisha. Changamoto zako ni mbegu za ushindi wako. Marafiki wa kweli hujitokeza wakati wa dhoruba. Mungu hufanya mambo kwa wakati wake, bila kutarajia. Uvumilivu ni urithi wa mashujaa.

Mwisho wa thread.
Kwa yeyote anayepitia giza sasa – endelea kutembea. Asubuhi inakuja. 🌅
Hongera sana
 
Back
Top Bottom