Safari yangu ya jana kwenye basi

Safari yangu ya jana kwenye basi

Tatizo unakuta umefundwa kila kitu unakutana na mume hajafundwa chochote yaani yupo yupo tu unadhani kitaeleweka hapo? Mnapowaandaa watoto wa kike kuwa wake msisahau kuwaandaa na wa kiume kuwa waume
Mwanaume anatakiwa kufundishwa kutafuta hela na kuilinda familia.
Tena ikiwezekana kazi zote azijue just for emergency.!!
 
Mwanaume anatakiwa kufundishwa kutafuta hela na kuilinda familia.
Tena ikiwezekana kazi zote azijue just for emergency.!!
Ndo hayo wengi wenu hamyawezi. Hamna muda wa kulinda na kutunza familia, pesa hata mke anatafuta tena kwa kusota na nyie mnaona sawa
 
Ndo hayo wengi wenu hamyawezi. Hamna muda wa kulinda na kutunza familia, pesa hata mke anatafuta tena kwa kusota na nyie mnaona sawa
Kusota mnajitakia wenyewe.
Mnataka kuwa na majukumu yasiyowahusu.
Kaa nyumbani ulee familia uone kama hutatunzwa.
Unapolazimisha kufanya kazi maana yake Kuna majukumu hutayafanya.
Ndio hapo unatatakiwa kucompensate na kipato unachokipata unakofanya kazi.
 
Kusota mnajitakia wenyewe.
Mnataka kuwa na majukumu yasiyowahusu.
Kaa nyumbani ulee familia uone kama hutatunzwa.
Unapolazimisha kufanya kazi maana yake Kuna majukumu hutayafanya.
Ndio hapo unatatakiwa kucompensate na kipato unachokipata unakofanya kazi.
Wenzako hawataki mwanamke asiyefanya kazi.
 
Kuna Shoga yangu anapenda kunipa vijembe ati najifanya msafi nikiolewa nitaacha. Hivi ukiolewa nini kinakufanya usiwe kama zamani?
Teh.....

Kwa hiyo we ni msafi

Napenda nipate mke msafi vipi tuanzishe family uitwe mama swalehe 😆
 
Mmhh sasa kama mwanamke kasoma aje kuwa mama wa nyumbani kweli? Au labda iwe hivi kuwa akitafuta pesa basi kazi za nyumbani atafute mtu amsaidie na amlipe mwenyewe lakini siyo kutaka mke atafute pesa halafu bado afanye na kazi za nyumbani mwenyewe kama wanaume wengine wanavyotaka!
Kusota mnajitakia wenyewe.
Mnataka kuwa na majukumu yasiyowahusu.
Kaa nyumbani ulee familia uone kama hutatunzwa.
Unapolazimisha kufanya kazi maana yake Kuna majukumu hutayafanya.
Ndio hapo unatatakiwa kucompensate na kipato unachokipata unakofanya kazi.
 
Hiviii mpaka unaoa hukumchunguza? Au ule nda wa uchumba watu wanachunguza nini? Tabia kama hizo am sure zinaonekana ata watu wanaomfahamu wanaweza kudokeza
Wanachunguzaga viuno tu kama vipo. Wanasahau ndoa ni zaidi ya viuno
 
Jana nilisafiri kwa basi, pale kituoni kulikuwa na mamma mmoja wa 70+ alikuwa na mtoto wake wa 40s ki umri. Yule kijana alihakikisha mama yake ana maji ya kunywa na matunda ya kula njiani.
Basi lilipofika ilitokea nimekaa nyuma ya yule mama akiwa amekaa na mama mwingine wa umri wake. Walianza kuongea juu ya kijana wake alivyo na msaada.
Yule mama akamwambia mwenzie, alioa lakini ndoa imemshinda, mke alikuwa mchafu na mvivu. Kushinda kwenye simu hata kupika alisahau.
Tukumbuke kupanga nyumba zetu amasivyo tutaachwa wengi baada ya kushinda JF.
Hahahaha...bless..
 
Jana nilisafiri kwa basi, pale kituoni kulikuwa na mamma mmoja wa 70+ alikuwa na mtoto wake wa 40s ki umri. Yule kijana alihakikisha mama yake ana maji ya kunywa na matunda ya kula njiani.

Basi lilipofika ilitokea nimekaa nyuma ya yule mama akiwa amekaa na mama mwingine wa umri wake. Walianza kuongea juu ya kijana wake alivyo na msaada.

Yule mama akamwambia mwenzie, alioa lakini ndoa imemshinda, mke alikuwa mchafu na mvivu. Kushinda kwenye simu hata kupika alisahau.

Tukumbuke kupanga nyumba zetu amasivyo tutaachwa wengi baada ya kushinda JF.
Kijana mwenyewe nimimi nataka nioe tena nani yuko tayari
 
Back
Top Bottom