Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,825
- 113,411
Usipomjali mama yako utoweza kumjali yeyote yule.Watoto wa kiume wana jali sana,
Usipomjali mama yako utoweza kumjali yeyote yule.Watoto wa kiume wana jali sana,
Nenda mwenyew[emoji53]Yeah..Au juu ya mti tule matunda..
Kuolewa si adhabu, ukishamfahamu uliye nae ni rahisi sana kuishi nae. Kuna watu hawawezi kukaa kwenye untidy place, sasa kama huendani naeWenyewe ndoa zenu mjishughulishe. Mie sifanyi kitu sababu ya kuonekana. Mtu akija atavyonikuta Ndo nilivyo siku zote....
Nikiamua kupika nakula haswa, nikiamua kutokupika Hata ununue navigable yote sipiki ng'oo nikiamua kufanya usafi nafanya nikiamua sigusi chochote naita deiwaka anakuja fanya usafi nyumba nzima.
Nikiwa na miadi kuonana na mtu siendi saluni sababu kutengeneza nywele au kucha sababu ya mtoko laah, ntaenda kama siku za kawaida nnazoenda shopping.
Sibadili muonekano wangu sababu flani anione wa maana au nafaa, niko hivi akiona sivyo asitegemee ntabadilika haviwezi anapisha maisha yangu yanadonga.
Wako wataosema sio kisa langu ni kosa la walezi wangu, laah no kisa la asili yangu.... Chimbuko la nilikotokea ni Matata zaidi yangu.
Sijisifii wala sitangazi sifa bali nasema ukweli wangu wa moyoni.
Wanawake wenyewe waume zenu nendeni mkashughulike msiachike msiige skins Kasie hatuna ndoa wala majukumu ya kulea.
K' Matata.
Wanajali mama dhao au babadhao?Watoto wa kiume wana jali sana,
Idodomya siku hizi muna Pantoni bro?Ukimaliza nije nikutoe out..Tukashinde kwenye Pantoni siku nzima.
Mwanamke mvivu asiyejua hata kupika huyu kwangu hata dakika mbili hakai namfukuza na mateke juu yakeJana nilisafiri kwa basi, pale kituoni kulikuwa na mamma mmoja wa 70+ alikuwa na mtoto wake wa 40s ki umri. Yule kijana alihakikisha mama yake ana maji ya kunywa na matunda ya kula njiani.
Basi lilipofika ilitokea nimekaa nyuma ya yule mama akiwa amekaa na mama mwingine wa umri wake. Walianza kuongea juu ya kijana wake alivyo na msaada.
Yule mama akamwambia mwenzie, alioa lakini ndoa imemshinda, mke alikuwa mchafu na mvivu. Kushinda kwenye simu hata kupika alisahau.
Tukumbuke kupanga nyumba zetu amasivyo tutaachwa wengi baada ya kushinda JF.
Utafikiri huwa hampi urodaMkuu unamuongeleaje mkeo hivyo aisee
Tena kama namuona anavyobakiaga mdogo akiwa anaomba[emoji4]Utafikiri huwa hampi uroda
Hili lipo wapi Sky?Ziwa Holombo
Kupika ilikuwa kigezo cha kwanzaIn realistic hii haiwezekani.
Tunakutana kwenye Basi kwenda Arusha.
Unaishi babati Mimi singida.
Tukikutana Ni Mara moja kwa mwezi kila mtu Yuko busy.
Utamchunguza saa ngapi?
Hao majirani watamjuaje kuwa mchafu na hajui kupika?
Wazazi/kinamama wanatakiwa kuwa na muda na mabinti zao. Wasifikiri kumsomesha binti bila kumfundisha mambo ya jikoni ndio solution.
Mwanamke asiyejua kuandaa chakula Ni Bora aendelee kuishi peke yake tu.
Kwani unaoa ili kupata uroda tu?Utafikiri huwa hampi uroda
Utaoaje mwanamke hajui hata kupika chakula chake mwenyewe?Kupika ilikuwa kigezo cha kwanza
Haha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena kama namuona anavyobakiaga mdogo akiwa anaomba[emoji4]
Kama ninalotaka liacha
Lichafu
Livivu
Kuoa mitoto ya mwisho ni laana