rafiki usimuache
mwelekeze tu kwa upole
nae atakuelewa na atabadilika
mmekutana wote ukubwani
kila mtu akiwa na malezi tofauti
wanasema:
HERI SHETANI UMJUAE KULIKO MALAIKA USIYEMJUA
heri
huyo coz hadi sasa unajua mapungufu yake ni yapi hivyo NI RAHISI KUDILI NAYO
Kuliko huyo mpya utakaetafuta
HUWEZIJUA NAE ATAKUJA NA MADHAIFU YAKE YAPI
UNAWEZAKUTA HUYO NDIYO JANGA JINGINE HADI UKAJUTIA BORA TU UNGEBAKI NA YULE WA KWANZA!
ila pia sisi wanaume tuwe na desturi ya kuongea na wake zetu
coz huenda wengi wetu hatuna hata muda wa kuongea nao
na ukiulizwa kitu jibu tu vizuri hautapungukiwa kitu
Mfano:
baba Leo tule nini?
UNAJIBU HILO NI SWALI LA KUNIULIZA?