Big Fat Lady
JF-Expert Member
- Jul 26, 2019
- 205
- 324
Hiviii mpaka unaoa hukumchunguza? Au ule nda wa uchumba watu wanachunguza nini? Tabia kama hizo am sure zinaonekana ata watu wanaomfahamu wanaweza kudokeza
Mke..Ulikuwa wapi ujanani kuwa na wivu mpaka uanze sasa uzeeni..We jamiiana na sisi tu
Yeah..Au juu ya mti tule matunda..[emoji23][emoji23][emoji23]kwenye panton tena?
In realistic hii haiwezekani.Hiviii mpaka unaoa hukumchunguza? Au ule nda wa uchumba watu wanachunguza nini? Tabia kama hizo am sure zinaonekana ata watu wanaomfahamu wanaweza kudokeza
Kuna mambo yatapungua lakini sio ndio uwe mchafu.Kuna Shoga yangu anapenda kunipa vijembe ati najifanya msafi nikiolewa nitaacha. Hivi ukiolewa nini kinakufanya usiwe kama zamani?
Mimi sina wivu mbona ningekuwa nao nisingekubali ukewenzaMke..Ulikuwa wapi ujanani kuwa na wivu mpaka uanze sasa uzeeni..
Umeongea point...In realistic hii haiwezekani.
Tunakutana kwenye Basi kwenda Arusha.
Unaishi babati Mimi singida.
Tukikutana Ni Mara moja kwa mwezi kila mtu Yuko busy.
Utamchunguza saa ngapi?
Hao majirani watamjuaje kuwa mchafu na hajui kupika?
Wazazi/kinamama wanatakiwa kuwa na muda na mabinti zao. Wasifikiri kumsomesha binti bila kumfundisha mambo ya jikoni ndio solution.
Mwanamke asiyejua kuandaa chakula Ni Bora aendelee kuishi peke yake tu.
Kama ninalotaka liacha
Lichafu
Livivu
Kuoa mitoto ya mwisho ni laana
Weekend ngoja tufanye usafi tusiachwe
Mume pamoja na familia yake si ndugu zakohuyo mamamkwe kwanini asimfunde mkamwana wake?? huyo ni kama mwanae wa pili kumteta kwa strangers sio kabisa tatizo mama wakwe baadhi wanakuwaga na upendo wa kinafki #imenitouch
Watoto Wa Mwisho Wanahitaji Uvumilivu Sana Kuwafundisha
Na wewe Mungu anakuona acha majunguWanawake watakao comment hapa wote watajifanya wachapakazi,,
Lakini Mungu anawaona, acheni uvivu [emoji121]
KweliiMume pamoja na familia yake si ndugu zako