Mpaka nimepakumbuka Kasulu, Makere na Mvugwe.Pamoja sana
Hongera mwanaSimple sana yani lakini inatoa shule kubwa ukiwa barabarani
Mimi hua natoka na Starlet Karatu ambako ni kazini kwenda Mwanza ambako ni nyumbani kwangu, nenda rudi ya kila mwezi au baada ya miezi miwili,kiukweli usafiri binafsi unakupa uhuru na kutalii vyema sana,pia unakupa marafiki huko kwenye vituo unavyo amua kusimama kwa malazi au chakula,au kujifunza mambo kadhaa
Mimi nililima shamba Singida kwa kupewa ramani na mdada tu aliyeniuzia wali kuku kwenye mgahawa humo barabarani
Watu wanaweza kudhani ni anasa lakini ni sehemu ya kupanua mawazo kichwani