Safari yangu ya Dar-Njombe-Iringa-Dodoma-Tabora-Kigoma-Kasulu-Kibondo-Nyakanazi-Kahama-Singida-Dom-Dar

Simple sana yani lakini inatoa shule kubwa ukiwa barabarani

Mimi hua natoka na Starlet Karatu ambako ni kazini kwenda Mwanza ambako ni nyumbani kwangu, nenda rudi ya kila mwezi au baada ya miezi miwili,kiukweli usafiri binafsi unakupa uhuru na kutalii vyema sana,pia unakupa marafiki huko kwenye vituo unavyo amua kusimama kwa malazi au chakula,au kujifunza mambo kadhaa

Mimi nililima shamba Singida kwa kupewa ramani na mdada tu aliyeniuzia wali kuku kwenye mgahawa humo barabarani

Watu wanaweza kudhani ni anasa lakini ni sehemu ya kupanua mawazo kichwani
Hongera mwana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom