Safari yangu Jijini Arusha na niliyoyakuta

Hizi mada za ukabila sijajua mnaziendekeza ili iwe nini?

Binafsi sijashuhudia hilo labda kwa vile ulikuwa muda mfupi. Lakini kwa wingi ule wa watu na hizo mambo haiwezi kuwa rahisi.

Tuache ukabila. Mbona kwenye papuchi hamuulizi ukabila wa udini?
 
Hizi mada za ukabila sijajua mnaziendekeza ili iwe nini?

Binafsi sijashuhudia hilo labda kwa vile ulikuwa muda mfupi. Lakini kwa wingi ule wa watu na hizo mambo haiwezi kuwa rahisi.

Tuache ukabila. Mbona kwenye papuchi hamuulizi ukabila wa udini?
Iko ivi ukikaa mji wowte muda mrefu afu ukiwa kibiashara unawajua wafanyabiashara wote na mizigo wanayoiuza. Unalijua ilo lakini mnajuana Kama vile mmesoma wote olevo afu boarding mkuu.
Pia Kuna muda mnaweza mkakutana so mkikutana hapo hapo mipango inawekwa.
Mangi hawezi kuja yard akachukua Kama ist Kama 3 Ivi na kuendelea
 
Hii ndio bara la Arusha, nilimkuta huyu mrembo moyo ukadunda kudung kudung

Kwakweli alikuwa na umbo zuri sana, wallah vile
 
Alikuja kiongozi mmoja wa CCM kutoka DSM wakati wa kampeni wakati anaongea kijana mmoja wa Arusha akamwambia

'''Aisee hatutaki LOMONI nyingi, we ng'oa zako''

Hakuelewa chochote na hata wenzake wakawa wanaukiza wamesemaje? Lomoni ni nini?

Kumbe Lomoni ni Maneno mengi

 
Tena siku hizi wanaita lomoni lomoni
 
Karibuni chugga,hatunaga shobo na MTU,km msaada wa mchongo tunakusaidia ila tu kuna wasio wazur pia,njoo Olmatejoo,ungaltd,ngarenaro,majengo,morombo,kisongo,sakina hadi ngara,unaeza pia kuja mwanama,njiro,ukiweza unakuja hadi usa river.karibuni sana,weekend inayokuja j moc ntakuwepo club d,na jpili ntakua the don,atakaekuwepo mitaa hio anicheki nimpe bucket moja ya windhock
 
No. 3 Si kweli kabisa.
Asilimia kubwa ya waendesha magari wanatii sheria vizuri. Isipokuwa Asilimia kubwa ya waendesha bodaboda ndio ovyo na hii ni kawaida kwa mikoa yote.

Karibu tena chuga!
Arusha waendesha magari wababe sana hasa akiwa na gari nzuri kidogo na hakuna fair kwa sisi tulioendesha magari mikoa tofauti tunajua hilo na pia ukitoa fair kwa mtu aingie na gari kwanza anashangaa wengi wanawasubirisha gari ziishe ndio aingie bara bara kubwa wakati gari haziishi mjini..unakuta mtu ana pick up harafu anawaacha wanafunzi na muda mwingine mvua inanyesha mimi kabla sijauza ford walishazoea nikipita mida wanayotoka nikisimama wanapanda kwa adabu nawaacha mjini..
 
Nina uhakika ulipita Arusha ila hujaishi wala kuendesha barabara Za arusha. Yaani huku kwanza hakuna purukushani za magari mji mdogo sana huu. Kama unaona Arusha kuna ubabe barabarani basi wewe ni dereva mchanga sana. Karibu tena uendeshe hata angalau wiki moja
 
Nilikua Chekereni mitaa ya Neema house. Nilienda kumla manzi Sakina, kwa 40k bao 3. Nishatoka baada ya migodi ya Moramu, Kwaru, kufungwa. Nimekula sananyama Rokii siku za ijumaa. I'll be back there.
Watoto wazuri Arusha wanapatikana wapi
 
Picnic ulifata malaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…