wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
- Thread starter
-
- #121
Hizi mada za ukabila sijajua mnaziendekeza ili iwe nini?Nachomaanishia hao mangi si ndo wameishika mji huo.
Kama haulizwi samahani labda hauna impact kwao yoyote ile kiuchumi.
Kuwa na duka kubwa la Mali Fulani hapo town utaona labda utauzia chasaka wenzako.
Huo mji una ukabila sema hauujui vizuri.
Ukienda soko kuu hata wale wanunuzi wa samaki wabichi wananunua kwa wao tu. Wale wakuja wananunua kwa wauzaji wakuja ambao sio wenyeji.
Ukiwa hata na hiace pale Moshi mjini wakishaijua hakuna mchaga wa kuipanda.
Nipige uniue Ila mchaga hawezi akakuletea kabisa dili la Mana asipelekee wa kwao. Inaonekana wewe bado hujawajua hao kiuchumi na huku watanzania wanawachoroga walivyojazana kwa miji ya wengine na wao wananunua kwao.
Yaani mie naweza nikaipeleka hela kwa mtanzania yeyote yule ila sio mangi mkuu.
Kila mtu anavuna analopanda.
Hata Mbowe vikao vyake vyote vya kisiasa kila mkoa anaofikia lazima aende kwenye hotel ya mtu wa Kilimakyasharo.
Ama hukumbuki viti maalumu walivyojazana dada zao mpaka mtwara Mara babati huko anatoka manka viti maalumu.
Atakuja kununua Mali ya hela ndogo Kama kukuzuga kuwa sio hatuna ukabila Ila Sasa kubabake awe Ana bars hata tano afu unauza via jumla eti kila siku awe ananunua kwako vinywaji Kama vya 2M kwako wewe kyasaka.
Yaani jua linachomoza from West to East geography nimeisahau.
Hao ni Kama wakenya mkikuyu hanunui kwa mkalenjini ama mwalimu mjaluo akafundishe kwa wameru kila mtu anabaki kwao
Iko ivi ukikaa mji wowte muda mrefu afu ukiwa kibiashara unawajua wafanyabiashara wote na mizigo wanayoiuza. Unalijua ilo lakini mnajuana Kama vile mmesoma wote olevo afu boarding mkuu.Hizi mada za ukabila sijajua mnaziendekeza ili iwe nini?
Binafsi sijashuhudia hilo labda kwa vile ulikuwa muda mfupi. Lakini kwa wingi ule wa watu na hizo mambo haiwezi kuwa rahisi.
Tuache ukabila. Mbona kwenye papuchi hamuulizi ukabila wa udini?
Pole sana mamilooo, ukija tena ntafute maana pale wananitazama kitu kinakuja ogKweli tena...nimekula mara kibao na majiko tofauti but nilikosa ladha
Tena siku hizi wanaita lomoni lomoniAlikuja kiongozi mmoja wa CCM kutoka DSM wakati wa kampeni wakati anaongea kijana mmoja wa Arusha akamwambia
'''Aisee hatutaki LOMONI nyingi, we ng'oa zako''
Hakuelewa chochote na hata wenzake wakawa wanaukiza wamesemaje? Lomoni ni nini?
Kumbe Lomoni ni Maneno mengi
witnessjHii ndio bara la Arusha, nilimkuta huyu mrembo moyo ukadunda kudung kudung
Kwakweli alikuwa na umbo zuri sana, wallah vile
View attachment 1823895
Daah ntafanya hivo wangu...kumechangamka sana nilikunywa nikala minyama nilichangamka sana hadi nikasahau shidaPole sana mamilooo, ukija tena ntafute maana pale wananitazama kitu kinakuja og
Wanaume bana
Wanaume wako kama fisiWanaume bana
AiseeeHapo shivaz nilipataga jimama hilo tako kubwa balaa halafu wakati huo nilikua chalii tu 22yrs
Enzi zake palikua panawika mbaya.Hahahaha pale baracuda nilianzia kupiga vitu nikiwa palace Hotel kwa usiku mmoja.
Siku zilizofuata jamaa wangeniripoti FBI, nikaona isiwe tabu.
Amefika picnic asifike mrina wkt picnic na mrina ni umbali wa k*ma na mk*nduKama hukufika MRINA basi hujafika Arusha
Arusha waendesha magari wababe sana hasa akiwa na gari nzuri kidogo na hakuna fair kwa sisi tulioendesha magari mikoa tofauti tunajua hilo na pia ukitoa fair kwa mtu aingie na gari kwanza anashangaa wengi wanawasubirisha gari ziishe ndio aingie bara bara kubwa wakati gari haziishi mjini..unakuta mtu ana pick up harafu anawaacha wanafunzi na muda mwingine mvua inanyesha mimi kabla sijauza ford walishazoea nikipita mida wanayotoka nikisimama wanapanda kwa adabu nawaacha mjini..No. 3 Si kweli kabisa.
Asilimia kubwa ya waendesha magari wanatii sheria vizuri. Isipokuwa Asilimia kubwa ya waendesha bodaboda ndio ovyo na hii ni kawaida kwa mikoa yote.
Karibu tena chuga!
Nina uhakika ulipita Arusha ila hujaishi wala kuendesha barabara Za arusha. Yaani huku kwanza hakuna purukushani za magari mji mdogo sana huu. Kama unaona Arusha kuna ubabe barabarani basi wewe ni dereva mchanga sana. Karibu tena uendeshe hata angalau wiki mojaArusha waendesha magari wababe sana hasa akiwa na gari nzuri kidogo na hakuna fair kwa sisi tulioendesha magari mikoa tofauti tunajua hilo na pia ukitoa fair kwa mtu aingie na gari kwanza anashangaa wengi wanawasubirisha gari ziishe ndio aingie bara bara kubwa wakati gari haziishi mjini..unakuta mtu ana pick up harafu anawaacha wanafunzi na muda mwingine mvua inanyesha mimi kabla sijauza ford walishazoea nikipita mida wanayotoka nikisimama wanapanda kwa adabu nawaacha mjini..
Kuna mtu anaweza kufika tanesco ubungo ila mawasiliano hajafikaAmefika picnic asifike mrina wkt picnic na mrina ni umbali wa k*ma na mk*ndu
Watoto wazuri Arusha wanapatikana wapiNilikua Chekereni mitaa ya Neema house. Nilienda kumla manzi Sakina, kwa 40k bao 3. Nishatoka baada ya migodi ya Moramu, Kwaru, kufungwa. Nimekula sananyama Rokii siku za ijumaa. I'll be back there.
Picnic ulifata malayaNawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania - Kazi iendelee.
Ilikuwa ni furaha kutoka Nyanda za Juu Kusini na kuja Ukanda huu wa Kaskazini mwa Tanzania.
Jiji maarufu kabisa kwa harakati za utalii.
Yafuatayo ndiyo niliyoyaona na mengine yamenishangaza.
1. Covid 19 imeutesa sana huu mji. Mishe zilizotegemea utalii zilikumbwa na pigo kama lile la afande moroto. Ingawa hali kama inarejea.
2. Ulaji nyama na unywaji wa pombe hufanyika kwa kiasi kikubwa mnoo. Si dhani kama kuna mkoa unawazidi hawa jamaa.
3. Utii wa sheria kwa watumiaji wa vyombo vya moto ni kama haiwahusu. Madereva wapo rafu mnoo. Watu pekee wanaojitahidi ni toyo/boda ingawa ni wapo wahuni wachache.
Uendeshaji magari ni tatizo katika hili jiji. Trafiki inabidi wafanye kazi ikiwa ni pamoja na kuchora upya namna ya matumizi ya barabara.
4. Watembea kwa miguu hawa ndiyo viburi waliopitiliza. Wanajiona nao ni kama magari/pikipiki.
5. Tabia za kibepari ni nyingi mno kuliko ujamaa. Wepesi pia kupeana michongo, wanaamini nao wanaweza tokea humo.
6. Bei za milupo nadhani bado bei elekezi inafanya kazi. Ila ukiwa mgeni unaweza pewa bill kubwa. Kuwa makini, wengine bado ni wezi hawaheshimu kazi zao.
7. Changamoto katika meno ya hawa watu ni shida. Demu mkali unakuta meno yameharibika, rangi zilizopitiliza. Sijajua chanzo hasa ni nini, je ni maji wanayotumia ama ulaji nyama uliopitiliza?
Iweje mamlaka ya maji safi wanashindwa kulitatua hili,wala madaktari wetu pia wameshindwa.
Hata kama linawapa identity bado ni mbaya pale inapodhidi,ingawa inaleta urembo kwa wengine.
8. Jamaa ni waoga sana wa baridi.
Asanteni Ara Chuga, masela wa Njiro, Moshono, Chekeleni, Ngaramtoni, Unga Limited, Sakina, Morombo, Ngarenaro, Makao Mapya hata wale nilio wasahau.
Vijiwe vyenu nilivyopita ni The Don, Mopao, Kokoriko, Uzunguni, Bills River, Picnic, Empire, Annex, Redwood.
Hakika zimekuwa siku 8 za purukushani nyingi na muda mchache wa kulala.
Fantastic stay in your city.
Karibuni pia kwa wanalizombe.