wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
- Thread starter
- #121
Hizi mada za ukabila sijajua mnaziendekeza ili iwe nini?Nachomaanishia hao mangi si ndo wameishika mji huo.
Kama haulizwi samahani labda hauna impact kwao yoyote ile kiuchumi.
Kuwa na duka kubwa la Mali Fulani hapo town utaona labda utauzia chasaka wenzako.
Huo mji una ukabila sema hauujui vizuri.
Ukienda soko kuu hata wale wanunuzi wa samaki wabichi wananunua kwa wao tu. Wale wakuja wananunua kwa wauzaji wakuja ambao sio wenyeji.
Ukiwa hata na hiace pale Moshi mjini wakishaijua hakuna mchaga wa kuipanda.
Nipige uniue Ila mchaga hawezi akakuletea kabisa dili la Mana asipelekee wa kwao. Inaonekana wewe bado hujawajua hao kiuchumi na huku watanzania wanawachoroga walivyojazana kwa miji ya wengine na wao wananunua kwao.
Yaani mie naweza nikaipeleka hela kwa mtanzania yeyote yule ila sio mangi mkuu.
Kila mtu anavuna analopanda.
Hata Mbowe vikao vyake vyote vya kisiasa kila mkoa anaofikia lazima aende kwenye hotel ya mtu wa Kilimakyasharo.
Ama hukumbuki viti maalumu walivyojazana dada zao mpaka mtwara Mara babati huko anatoka manka viti maalumu.
Atakuja kununua Mali ya hela ndogo Kama kukuzuga kuwa sio hatuna ukabila Ila Sasa kubabake awe Ana bars hata tano afu unauza via jumla eti kila siku awe ananunua kwako vinywaji Kama vya 2M kwako wewe kyasaka.
Yaani jua linachomoza from West to East geography nimeisahau.
Hao ni Kama wakenya mkikuyu hanunui kwa mkalenjini ama mwalimu mjaluo akafundishe kwa wameru kila mtu anabaki kwao
Binafsi sijashuhudia hilo labda kwa vile ulikuwa muda mfupi. Lakini kwa wingi ule wa watu na hizo mambo haiwezi kuwa rahisi.
Tuache ukabila. Mbona kwenye papuchi hamuulizi ukabila wa udini?