Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,432
- 746
Mkuu Mentor haya mambo yaliyokushangaza kule kwa majirani zetu waliojaliwa watoto waliumbika yalishazungumzwa sana hapa jamvini ili yafanyike kama wanavyofanya hao jirani zetu katika jitihada za kupunguza gharama za uendeshaji wa Serikali ambazo haziongezi tija kwa Watanzania lakini hii Serikali taahira Ooops!!! Serikali sikivu haimbiliki hivyo bado hizi gharama kubwa mbali mbali bado zinaendelea mwaka nenda mwaka rudi bila huruma yetote ile kwa walipa kodi.
Waache majirani zetu wa Kinyarwanda waridhishwe kwa asilimia kubwa na utendaji uliojaa ufanisi mkubwa wa Serikali yao ukilinganisha na hii Serikali yetu ambayo utendaji ni SIFURI.
Mentor:mkuu imeangukia siku mbaya.Ikifika saa sita mcha naamini utabadili maelezo,eti ni siku ya wajinga,Aprili Mosi...
Last edited by a moderator: