Safari ya mateso katika mahusiano yangu

Safari ya mateso katika mahusiano yangu

Kisichokuua kitakukomaza kiaskari Cc Langa kileo R.I.P
 
yani wewe ni boya unapelekwa na maji tu...... halafu next time story iwe fupi bana loh
 
Pole sana, hongera kwa kuwa gentlemen,tatizo ulianza mapenzi mapema ......utampata wa kufanana na wewe.
 
Dah! Ulikuwa zezeta kwakeli!
Ww kazi yako kufanya birthday na kuomba msamaha ila wenzako walikuwa wapigaji..

Habar ndeefu lakn yote ya kizezeta nmeacha hata kuisoma

Sio Lazma kuisoma.
 
...mapenzi sio ya kukimbilia, unatakiwa uache love I-flow naturally na automatically...kumng'ang'a mtu unayeona haeleweki wala kufikiria hisia zako pia ni sawa na kujiumiza mwenyewe..kama hii stori yako ni ya kweli I mean kweli imekutokea na sio itherwise, basi nakutakia kila la kheri na ninaamini utampata MTAKAYEPENDANA as love ni two way...wote mkipendana na KUELEWANA, utainjoi sana mahusiano yako..kila la kheri In Shaa Allah.

Thanks
 
Kama kweli kuna wanaume kama we we dunia ya saivi basi Kijana nakuinulia mikono juu ,na Mungu akujaaaalie mpenzi mwingne mwenye mapenzi ya dhati !!!kumbe na wanaume huwa wanateswa kimapenzi nilijua wao tu ndo hutesa wanawake.
 
Wise man ur gentleman..ur an ideal boyfriend.Mungu akuwezeshe upate mapenzi ya kweli
 
Kuna watu mnajua kupenda hadi upendo wenyewe unawashangaa. Ulimpenda Angel, ila yeye hakukupenda. Ulikuwa unamlazimisha akupende.

Ila nimekuelewa sana, coz kuna mtu wangu wa karibu tumembatiza kabisa jina "ZUZU". Anapenda hadi tunamuonea huruma na huyo msichana wake ni ana vituko lakini ndo jamaa haelewi. Leo anaachwa, baada ya miezi anarudiwa na anampokea kwa 100%. Msichana atakuwa na mtu mwingine, yakibuma anarudi kwa zuzu afu fresh tu yani. Tumemshauri weee but Imebidi tumuangalie tu. Ashakoswa koswa na bus kisa stress za huyo girl. Yeye hata umpeleke kwenye mataa kokote atapiga tu magoti kumbembeleza huyo girl. Yupo hivyo miaka yote
 
Duuu, miaka ile ningekuwa nasoma kwa makini kwa nilivyosoma hiyo story lazima sasa ningekuwa mtu mmoja maarufu sana.

................... Huyo dem ni mal aya. Kuna mwaka atakutolea machozi tu.
 
Am sorry to say this, we jamaa ni zaidi ya boya, nilitaka kuishia njiani ila nikajilazimisha ili nijue ubwege wako utakufikisha wapi. Yaani serious kabisaa yaan serious kwa tote hayo bado unamuentertain?? Mbaya zaidi unaitisha kikao na Mme mwenzio mbele yake dem ukitegemea nini??? Ndo maana dem mwenyewe kakuona ni zaidi ya boya. Hebu Kuwa mwanaume uko, huyo dem hakufai hata kidogo, hafai hata kuwa mchepuko. Acha uzoba wewe, yaani umeniuzi hadi hadira, PAMBAFFFF😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡
 
Mmmmmmmh aiseee hii kitu ni noma mzee khaaaaaaaa, huyo angel ni sumu, Anyways bro, next tym unaangalia na upepo man, hta kama unampenda mtu vipi if she doesnt give back ni sawa na bure, mpende akupende if she doesnt, SAVE IT ukilazmisha ndio kulia kunafata, pia umekiona chamoto, u hv learnt in a very hard way, mtu kaa ww ni ngumu sana kuyumbishwa in relationshps zngne, ukiyumba utakua boya!!! Be a man samtyms, U let it go, U tried sana buh huyo babe katili, hvi ulikua huoni anazngua ungefyt na wana wangapi??? Wanawake wazuriii wengi tu mjini hapa, mpge kwenye dust bin abakie as a woman u hv ever loved PERIOD!!! Ila kulia acha Brother, na pia tunaliaga ndio ila cyo kiviiiiiiiiileee unafuta buti unatambaaaa mbele, KUA MWANAUME MAANA YAKE WW NI CHUMA, HUPINDI KIZEMBE UNAMALIZWA NA KUTU TU,
 
Wise man ur gentleman..ur an ideal boyfriend.Mungu akuwezeshe upate mapenzi ya kweli

Acheni kumdanganya mwenzenu, huo ni uzuzu na uzezeta plus ujinga na ufala. Acheni kuchanganya ugentlomeni na uzuzu
 
Kwangu ni safair ya mateso katika kuisona habari niliyowahi kuikutata JF
 
Kama kweli kuna wanaume kama we we dunia ya saivi basi Kijana nakuinulia mikono juu ,na Mungu akujaaaalie mpenzi mwingne mwenye mapenzi ya dhati !!!kumbe na wanaume huwa wanateswa kimapenzi nilijua wao tu ndo hutesa wanawake.

Mapenzi hayana Mwenyewe Sister
 
Back
Top Bottom