Safari ya mateso katika mahusiano yangu

Safari ya mateso katika mahusiano yangu

Duuu pole sana kijana umenifanya niya chukie gafla mapenzi na haswa wadada! Lakin pongezi kwangu kwa kumaliza kusoma hii stori toka mwanzo

Asante..Haina haja ya kuchukia Mapenz.. Tunaishi kwa kujifunza
 
Wise person nakupa pole kama ni true story! Huyo mwanamke amekusoma na amejua udhaifu wako. She will play with yuor heart like she's playing with a toy. Si ajabu pamoja na yote hayo ulotueleza akarudi tena kwako ukampokea! You know what? Let me advice yuo. Anza na kujenga chuki juu yake,chukua ubaya wote alokutenda alafu hakikiksha kila ukimkumbuka unachukia matendo yake happ ndo utaweza kujinasua. Vinginevyo hutaweza kumpa nafasi mtu mwenye mapenzi ya kweli. Be a man kua achana nae futa mawazo juu yake kabisa.let her go for good dont dare to change your once she comes again

Asante sana.. Nlishampotezea kabisaa.. Kuna mrejesho wa Angel ila next tym. Thanks for ya advice Salute
 
Wewe umeanza chuo 2011, wakati huo Angel alikua form four/ five, lakini 2012 anaonekana yupo chuo Dar es salaam, haya ni maendeleo makubwa sana.
 
Nimejitahid kusoma story yote mana kila nikitaka kuiacha inanishawishi kuendelea.Pole sana!Nasubiri mrejesho wake naamini Angel atakukumbuka na atataka umrudie
 
Wewe umeanza chuo 2011, wakati huo Angel alikua form four/ five, lakini 2012 anaonekana yupo chuo Dar es salaam, haya ni maendeleo makubwa sana.

Yes nimemaliza six 2011 nakuanza chuo same year nkiwa 1st year..2012 angel kamaliza six na akaanza chuo same year akiwa 1st year me nkiwa 2nd year
 
Nimeisoma story yote ila kuna kitu sijaelewa, ni kwanini ulikuwa unalilia sana? Ni nini kilichokuwa kinakuliza? Tokea mwanzoni huyo Angel alionyesha kutokukupenda, bado ukalazimisha, sasa ni kwanini ujilize pale yalipojitokeza ambayo yanatarajiwa kufanywa na mtu yeyote asie na mapenzi na mtu? Ni obvious kuwa ulijua hakupendi.
Umeonyesha undezi/Unyonge sana kwa mtu mzima alieyaona maisha yalivyo.
Mwanamke kukukataa wakati mwingine ina faida yake kwani inaepusha lawama ya kumuacha na pia inakupa nafasi ya kuexplore na kukutana na wengine wazuri zaidi. Huyo Angel hakuwa na kosa, ulimlazimisha tu.
 
Pambav, nani ana muda huo wa kisoma hayo madudu, kwanza ulopoanza kujisifia kuwa wewe mzuri nimeishia hapo hapo

Kwa Madudu haya wenzako wamesoma na wanajifunza kitu. Cjisifii kuwa mzur ndivyo nlivyo.. Na nisehemu ya simuliz.. Na ninamshukuru Mungu jins nlivyo..
 
andika kitabu bwana.nimesoma zaid ya risali moja
 
hujui kutongoza bro......mlaini mlaini mno.... na watakutesa kweli.....test punyeto kdg.... hupunuza streessss
 
Nimeisoma story yote ila kuna kitu sijaelewa, ni kwanini ulikuwa unalilia sana? Ni nini kilichokuwa kinakuliza? Tokea mwanzoni huyo Angel alionyesha kutokukupenda, bado ukalazimisha, sasa ni kwanini ujilize pale yalipojitokeza ambayo yanatarajiwa kufanywa na mtu yeyote asie na mapenzi na mtu? Ni obvious kuwa ulijua hakupendi.
Umeonyesha undezi/Unyonge sana kwa mtu mzima alieyaona maisha yalivyo.
Mwanamke kukukataa wakati mwingine ina faida yake kwani inaepusha lawama ya kumuacha na pia inakupa nafasi ya kuexplore na kukutana na wengine wazuri zaidi. Huyo Angel hakuwa na kosa, ulimlazimisha tu.

Maybe U right.. Kulia z nat a sign of Weakness.. Kwa kiac nlikua inanisaidia kupunguza maumiv yaliyokua Moyoni. So ilinisaidia kiac.. Sikumlazimiza nlimpa nafac love ikue taratibu inside her heart. Then Akiwa tayar anipe nafac.. Ukisoma vizur Yy ndo alikuja kunitongoza later. Anyway nlisubir nione mwsho utakuaje. Cz haikuwa rahc Mimi kumuacha fasta hasa ukizingatia nlimpenda Sana. Bt imenikomaza kiac flani
 
...mapenzi sio ya kukimbilia, unatakiwa uache love I-flow naturally na automatically...kumng'ang'a mtu unayeona haeleweki wala kufikiria hisia zako pia ni sawa na kujiumiza mwenyewe..kama hii stori yako ni ya kweli I mean kweli imekutokea na sio itherwise, basi nakutakia kila la kheri na ninaamini utampata MTAKAYEPENDANA as love ni two way...wote mkipendana na KUELEWANA, utainjoi sana mahusiano yako..kila la kheri In Shaa Allah.
 
Dah! Ulikuwa zezeta kwakeli!
Ww kazi yako kufanya birthday na kuomba msamaha ila wenzako walikuwa wapigaji..

Habar ndeefu lakn yote ya kizezeta nmeacha hata kuisoma
 
Back
Top Bottom