Safari ya kufuata mhogo

Safari ya kufuata mhogo

Niliwahi kuifiata mbususu Mbeya nikitokea Dar. Kipindi kile mabasi yanafika Mby alfajiri. Kufika tu fasta unaoga na kupiga mswaki halafu Cha asubuhi. Then bebi anakwenda kuzuga ofisini anakuacha umelala. Saa nne huyu na kila aina ya mazagazaga. Kumbuka kipindi kile hakuna simu za mkononi so no disturbance mpaka siku ya kuondoka.
 
Yaan nami naona narudi kulekule☹️sijui nifanyaje? Mbeya hapa ukimwi upo juujuu hadi naogopa kuliwa,ukimkubali mtu ukimwambia kupima kwanza waingia mitini...nina watoto naogopa nikiharibu afya nimewaumiza wanangu tayari
Mbona hao wa mbali nao shida tupu, mtu anaishi hapa Dar, wewe upo Mbeya unadhani kama ni huo ukimwi utaukimbia kwa design hiyo kweli?

Tafuta mtu wako huko ujilie vyako kila ukijisikia, mwenyewe hadi nipime ngoma sijui asee, ule ni mtihani ambao siku nikiuweza nitachinja mbuzi hakyanani.
 
Mbona hao wa mbali nao shida tupu, mtu anaishi hapa Dar, wewe upo Mbeya unadhani kama ni huo ukimwi utaukimbia kwa design hiyo kweli?

Tafuta mtu wako huko ujilie vyako kila ukijisikia, mwenyewe hadi nipime ngoma sijui asee, ule ni mtihani ambao siku nikiuweza nitachinja mbuzi hakyanani.
Asante Kwa ushauri aisee,barikiwa.Kumbe kupima nawe ni nongwa🤣🙌
 
Katika maisha tunapitia changamoto nyingi mno . Ila tumepewa zawadi ya mapenzi na Muumba Ili kupunguza uchungu tunaokutana nao katika safar nzima ya maisha

Katika miezi mibovu kwangu ni pamoja na huu nimesafiri KUFATA MHOGO Arusha kutoka Tunduma

Wanaume kuweni na aibu hata kidogo basi aiwezekan uwe unabadilisha wanawake kama nguo na wote unawapeleka nyumba unayoishi mnaboa wenye tabia za hivo sana katika katiba mpya hili suala tutaomba liwepo kuwafunga wanaume wa hivo

Nimefika Arusha salama lakini nakutana na vituko namna hii mwanaume age34 Bado unaangaika na bint wa 16yrs men stop this pls haitoshi mama mwenye nyumba hakai hapo ila ndio anagombaniana na vidada MHOGO yaani akikuta kadada anakaramba makofi hio si laana?

Laiti ningejua kuwa mahusiano ya mbali umoja wa mataifa ndio wanaweza nisingejihusisha na haya mahusiano ambayo mpaka sasa sijui yalikuwa yanahusiana na Nini

Nawapa tahadhari acheni kizifata mbunye na papuchi mbali mtajakupigwa vitu vizito dumu na yule mtu wako wakaribu kama tu hakuletei U.T.I
Ww ujapigwa kweli ww
 
Usiloliweza wenzako tunaliweza na Linalokuchosha wenzako linatuchangamsha.

Nini Arusha... Mimi nshatoka Dar to Kigoma nkakaa Wiki moja nachakata daily then Safari ikaanza tena kuifuata Mbususu nyingine Mtwara kule nlikaa wiki 2 kisha nikaitiwa Mbunye Dar... Safari ya kurudi nlikua nimechoka sana aisee... Hata sikushuka njiani nile zaidi ya kubugia Makorosho tu na Maziwa Mgando.

Nimefika Dar nkaanza kujificha na kuzima simu mpaka Kibuyu kilivyojaa tena.

Girls wanapenda sana kufuatwa na kuitiwa Dushe.
Wewe ni noma.
 
Tuwe na taadhari wana JF
Anything can happen hapa
 
Kuna mzee mmoja muungwana sana na anajua kutunza sana...sema nikuunge naye
😂😂😂😂
We jamaa unataka kujipigia pasi kiaina.
Huyu veroos yaweza kuwa ye ndo mwenye shida vile tu hatujasikia upande wa pili. Hawa viumbe sio wa kuwaamini. Nampa 50% hadi jamaa yake atokee nitapunguza au kuongeza.
 
😂😂😂😂
We jamaa unataka kujipigia pasi kiaina.
Huyu veroos yaweza kuwa ye ndo mwenye shida vile tu hatujasikia upande wa piki. Hawa viumbe sio wa kuwaamini. Nampa 50% hadi jamaa yake atokee nitapunguza au kuongeza.
🤣🤣🤣🤣
 
Usiloliweza wenzako tunaliweza na Linalokuchosha wenzako linatuchangamsha.

Nini Arusha... Mimi nshatoka Dar to Kigoma nkakaa Wiki moja nachakata daily then Safari ikaanza tena kuifuata Mbususu nyingine Mtwara kule nlikaa wiki 2 kisha nikaitiwa Mbunye Dar... Safari ya kurudi nlikua nimechoka sana aisee... Hata sikushuka njiani nile zaidi ya kubugia Makorosho tu na Maziwa Mgando.

Nimefika Dar nkaanza kujificha na kuzima simu mpaka Kibuyu kilivyojaa tena.

Girls wanapenda sana kufuatwa na kuitiwa Dushe.
Umetoka wapi ukaenda wapi?.....Chai bila shugale😂
😂
 
Katika maisha tunapitia changamoto nyingi mno . Ila tumepewa zawadi ya mapenzi na Muumba Ili kupunguza uchungu tunaokutana nao katika safar nzima ya maisha

Katika miezi mibovu kwangu ni pamoja na huu nimesafiri KUFATA MHOGO Arusha kutoka Tunduma

Wanaume kuweni na aibu hata kidogo basi aiwezekan uwe unabadilisha wanawake kama nguo na wote unawapeleka nyumba unayoishi mnaboa wenye tabia za hivo sana katika katiba mpya hili suala tutaomba liwepo kuwafunga wanaume wa hivo

Nimefika Arusha salama lakini nakutana na vituko namna hii mwanaume age34 Bado unaangaika na bint wa 16yrs men stop this pls haitoshi mama mwenye nyumba hakai hapo ila ndio anagombaniana na vidada MHOGO yaani akikuta kadada anakaramba makofi hio si laana?

Laiti ningejua kuwa mahusiano ya mbali umoja wa mataifa ndio wanaweza nisingejihusisha na haya mahusiano ambayo mpaka sasa sijui yalikuwa yanahusiana na Nini

Nawapa tahadhari acheni kizifata mbunye na papuchi mbali mtajakupigwa vitu vizito dumu na yule mtu wako wakaribu kama tu hakuletei U.T.I
Duuuuuuu
 
Back
Top Bottom