Safari ya kufuata mhogo

Safari ya kufuata mhogo

Usiloliweza wenzako tunaliweza na Linalokuchosha wenzako linatuchangamsha.

Nini Arusha... Mimi nshatoka Dar to Kigoma nkakaa Wiki moja nachakata daily then Safari ikaanza tena kuifuata Mbususu nyingine Mtwara kule nlikaa wiki 2 kisha nikaitiwa Mbunye Dar... Safari ya kurudi nlikua nimechoka sana aisee... Hata sikushuka njiani nile zaidi ya kubugia Makorosho tu na Maziwa Mgando.

Nimefika Dar nkaanza kujificha na kuzima simu mpaka Kibuyu kilivyojaa tena.

Girls wanapenda sana kufuatwa na kuitiwa Dushe.
woooiiiii
 
Kwa sisi waume za watu njia pekee ya "kujinafasi" na pisi ni kusafiri nayo au kuifata mkoani ilipo. Binafsi siwezi kukumbuka ni mara ngapi nimetunga safari kufuata mbususu mikoa mbalimbali ndani na nje ya nchi.
nina mbususu kila kona ya nchi hii ila dom ndo zipo nyingi nikisema niende uko kwanza kuna ratiba niweke vyema
 
Pole sana dear, sasa ni muda wa kuwa unaufata muhogo hapa jirani tuu nipo SOGEA hapa tukitoka hapa tunaenda mpemba kula raha mamii usifate muhogo mbali namna hiyo ni hatari pia kusafiri masaa karibu 20.
Na huku kapigwa makofi na mam mwenye nyumba
 
Ni baadhi tu wamejitwika ufilauni na usodoma ndani Yao kwa hatua niliofikia ntajipatia Mzee mmoja maridad kabisa niwe nimemaliza mahangaiko ya Dunia ibaki kuangaikia ufalme wa mbingun
Mkuu hapa umemaliza...upewe na cheti kabisa. Duh
 
Mazingura yako hamna wa kukutoa upwiru madam? Mapenzi ya mbali ni chnagmoto na inaweza kukuletea hata maradhi asee
Yaan nami naona narudi kulekule☹️sijui nifanyaje? Mbeya hapa ukimwi upo juujuu hadi naogopa kuliwa,ukimkubali mtu ukimwambia kupima kwanza waingia mitini...nina watoto naogopa nikiharibu afya nimewaumiza wanangu tayari
 
Back
Top Bottom