Manndasori
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 286
- 260
Unatafuta hela saa ngapi bossUsiloliweza wenzako tunaliweza na Linalokuchosha wenzako linatuchangamsha.
Nini Arusha... Mimi nshatoka Dar to Kigoma nkakaa Wiki moja nachakata daily then Safari ikaanza tena kuifuata Mbususu nyingine Mtwara kule nlikaa wiki 2 kisha nikaitiwa Mbunye Dar... Safari ya kurudi nlikua nimechoka sana aisee... Hata sikushuka njiani nile zaidi ya kubugia Makorosho tu na Maziwa Mgando.
Nimefika Dar nkaanza kujificha na kuzima simu mpaka Kibuyu kilivyojaa tena.
Girls wanapenda sana kufuatwa na kuitiwa Dushe.




. Ila tumepewa zawadi ya mapenzi na Muumba Ili kupunguza uchungu tunaokutana nao katika safar nzima ya maisha

sijui nifanyaje? Mbeya hapa ukimwi upo juujuu hadi naogopa kuliwa,ukimkubali mtu ukimwambia kupima kwanza waingia mitini...nina watoto naogopa nikiharibu afya nimewaumiza wanangu tayari
