Safari ya kufuata mhogo

Safari ya kufuata mhogo

Katika maisha tunapitia changamoto nyingi mnoo . Ila tumepewa zawadi ya mapenzi na Muumba Ili kupunguza uchungu tunaokutana nao katika safar nzima ya maisha

Katika miez mibovu kwangu ni pamoja na huu nimesafir KUFATA MHOGO Arusha kutoka Tunduma

Wanaume kuweni na aibu ata kidogo basi aiwezekan uwe unabadilisha wanawake kama nguo na wote unawapeleka nyumba unayoishi mnaboa wenye tabia za Ivo sana katika katiba mpya hili swalatutaomba liwepo kuwafunga wanaume wa hivo

Nimefka Arusha salama lakin nakutana na vituko namna hii mwanaume age34 Bado unaangaika na bint wa 16yrs men stop this pls haitoshi mama mwenyenyumba hakai hapo ila ndo anagombaniana na vidada MHOGO yaaan akikuta kadada anakaramba makofi hio si laana?

Lait ningejua kuwa mahusiano ya mbali umoja wa mataifa ndo wanaweza nisingejihusisha na haya mahusiano ambayo mpaka sasa sijui yalikuwa yanahusiana na Nini

Nawapa taadhari acheni kizifata mbunye na papuchi mbaliii mtajakupigwa vitu vizito dumu na yule mtu wako wakaribu kama tu hakuletei U.T.I
Wenye tabia hii watakufa na uzinzi
 
Katika maisha tunapitia changamoto nyingi mnoo . Ila tumepewa zawadi ya mapenzi na Muumba Ili kupunguza uchungu tunaokutana nao katika safar nzima ya maisha

Katika miez mibovu kwangu ni pamoja na huu nimesafir KUFATA MHOGO Arusha kutoka Tunduma

Wanaume kuweni na aibu ata kidogo basi aiwezekan uwe unabadilisha wanawake kama nguo na wote unawapeleka nyumba unayoishi mnaboa wenye tabia za Ivo sana katika katiba mpya hili swalatutaomba liwepo kuwafunga wanaume wa hivo

Nimefka Arusha salama lakin nakutana na vituko namna hii mwanaume age34 Bado unaangaika na bint wa 16yrs men stop this pls haitoshi mama mwenyenyumba hakai hapo ila ndo anagombaniana na vidada MHOGO yaaan akikuta kadada anakaramba makofi hio si laana?

Lait ningejua kuwa mahusiano ya mbali umoja wa mataifa ndo wanaweza nisingejihusisha na haya mahusiano ambayo mpaka sasa sijui yalikuwa yanahusiana na Nini

Nawapa taadhari acheni kizifata mbunye na papuchi mbaliii mtajakupigwa vitu vizito dumu na yule mtu wako wakaribu kama tu hakuletei U.T.I
Pole sana dear, sasa ni muda wa kuwa unaufata muhogo hapa jirani tuu nipo SOGEA hapa tukitoka hapa tunaenda mpemba kula raha mamii usifate muhogo mbali namna hiyo ni hatari pia kusafiri masaa karibu 20.
 
Npo kwa gar narud zangu kwangu hamu na mwanaume Sina nimeshavuliwa nguo vyakutosha
Aisee hatari hii ila nyie bado tuu hamjakomaganna hii mambo ya long distance relationship
 
Nimecheka hata kabla sijamaliza kusoma story,, nimeishia hapo kutoka tunduma kufata muhogohaya tuendelee

Yani hapo ukapata uchovu mara mbili si ajabu hata kaorgasm kadogo hukupata, pole Sana

Ndo maana mie napenda wababa, wastaafu wanajielewaga, 34 yrs kwa wanaume wengi bado hawajakomaa ktk kusimamia matamanio yao ya kingono
Hata sisi tuliostaafu hivyohivyo tu tofauti busara inakuwepo… mtoa mada Tunduma hakuna mihogo? Au wanalima nyanya tu?
 
Nimecheka hata kabla sijamaliza kusoma story,, nimeishia hapo kutoka tunduma kufata muhogohaya tuendelee

Yani hapo ukapata uchovu mara mbili si ajabu hata kaorgasm kadogo hukupata, pole Sana

Ndo maana mie napenda wababa, wastaafu wanajielewaga, 34 yrs kwa wanaume wengi bado hawajakomaa ktk kusimamia matamanio yao ya kingono

Kwaiyo wewe ni legend
 
Nimecheka hata kabla sijamaliza kusoma story,, nimeishia hapo kutoka tunduma kufata muhogohaya tuendelee

Yani hapo ukapata uchovu mara mbili si ajabu hata kaorgasm kadogo hukupata, pole Sana

Ndo maana mie napenda wababa, wastaafu wanajielewaga, 34 yrs kwa wanaume wengi bado hawajakomaa ktk kusimamia matamanio yao ya kingono
Wazee wetu wakianza kuumwa msiwatelekeze basi endeleeni kuwa nao Kama marehemu bibi zetu walivyokuwa nao ktk kila hali
 
Katika maisha tunapitia changamoto nyingi mnoo . Ila tumepewa zawadi ya mapenzi na Muumba Ili kupunguza uchungu tunaokutana nao katika safar nzima ya maisha

Katika miez mibovu kwangu ni pamoja na huu nimesafir KUFATA MHOGO Arusha kutoka Tunduma

Wanaume kuweni na aibu ata kidogo basi aiwezekan uwe unabadilisha wanawake kama nguo na wote unawapeleka nyumba unayoishi mnaboa wenye tabia za Ivo sana katika katiba mpya hili swalatutaomba liwepo kuwafunga wanaume wa hivo

Nimefka Arusha salama lakin nakutana na vituko namna hii mwanaume age34 Bado unaangaika na bint wa 16yrs men stop this pls haitoshi mama mwenyenyumba hakai hapo ila ndo anagombaniana na vidada MHOGO yaaan akikuta kadada anakaramba makofi hio si laana?

Lait ningejua kuwa mahusiano ya mbali umoja wa mataifa ndo wanaweza nisingejihusisha na haya mahusiano ambayo mpaka sasa sijui yalikuwa yanahusiana na Nini

Nawapa taadhari acheni kizifata mbunye na papuchi mbaliii mtajakupigwa vitu vizito dumu na yule mtu wako wakaribu kama tu hakuletei U.T.I

We tuache kwanza suala la katiba mpya tunataka iwepo provision inayokataza mwanaume kuhonga
 
Nimecheka hata kabla sijamaliza kusoma story,, nimeishia hapo kutoka tunduma kufata muhogohaya tuendelee

Yani hapo ukapata uchovu mara mbili si ajabu hata kaorgasm kadogo hukupata, pole Sana

Ndo maana mie napenda wababa, wastaafu wanajielewaga, 34 yrs kwa wanaume wengi bado hawajakomaa ktk kusimamia matamanio yao ya kingono

Mtuombee wakuu
Kuwa mwanaume sio kazi ndogo, imagine limji kama Dasalama jamani
Hebu fikiria ndio unakatiza pale wanaita chuo kikuu, rudi kapande pantoni jamani, toka uko tembelea TIA, IFM, CBE huko kote acha ingia mjini kule sjui mnaita site senta

Uanaume kazi nyie msifanye utani
 
. .. ila afadhari leo One Girl Down tumezoea riport za kila siku One Man Down..Na nyie onjeni kidogo.
 

Subiri Per Diem Mpya Umetoka Mbali Sana

Ukipitia Njia Tanga Oops!!

Songwe, Mbeya, Njombe, Iringa, Morogoro, Pwani, Tanga, Kilimanjaro, Arusha
 
Back
Top Bottom