Safari njema kiwatengu

Safari njema kiwatengu

shansarie

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2013
Posts
5,690
Reaction score
3,370
Wapendwa wana chitchat naomba mshirikiane nami kumtakia safari njema na
kuiombea familia ya kipenzi changu Mr kiwatengu kwa matatizo waliyoyapata.

Mungu awasafirishe salama na kuwapa nguvu na kuwaondolea hofu.
yote ni mapenzi ya mungu.

Habari zimfikie;
 
Namtakia safari njema huko aendako na Mungu amtangulie kwa kila hatua apigayo katika safari yake.

Hata mimi niko njiani nasafiri Mungu atuongoze salama atuepushie baya lolote lisitokee katika safari yetu

damu ya Yesu itufunike, malaika mlinzi atulinde, ibilisi ashindwe...... Kwa jina la Yesu wa Nazalet...

A M E N!!!!!!!!!
 
Namtakia safari njema huko aendako na Mungu amtangulie kwa kila hatua apigayo katika safari yake.

Hata mimi niko njiani nasafiri Mungu atuongoze salama atuepushie baya lolote lisitokee katika safari yetu

damu ya Yesu itufunike, malaika mlinzi atulinde, ibilisi ashindwe...... Kwa jina la Yesu wa Nazalet...

A M E N!!!!!!!!!
ameeeeen
 
Namtakia safari njema huko aendako na Mungu amtangulie kwa kila hatua apigayo katika safari yake.

Hata mimi niko njiani nasafiri Mungu atuongoze salama atuepushie baya lolote lisitokee katika safari yetu

damu ya Yesu itufunike, malaika mlinzi atulinde, ibilisi ashindwe...... Kwa jina la Yesu wa Nazalet...

A M E N!!!!!!!!!

AMEN! LADY we unaelekea wapi? mi naenda Moshi..
 
Mkwe, mimi mama niko nahangaika na maisha huku bongo
hebu niambie kuna nini tena huko kijijini, si unajua moshi ni mbali kuliko huko mliko
kiwatengu acha hizo, why not haukunitumia hata sms,
safari njema na Mungu awapiganie kwa kila hali.

Ndima mama mkwe wa hapa bongo.
 
Last edited by a moderator:
Mkwe, mimi mama niko nahangaika na maisha huku bongo
hebu niambie kuna nini tena huko kijijini, si unajua moshi ni mbali kuliko huko mliko
kiwatengu acha hizo, why not haukunitumia hata sms,
safari njema na Mungu awapiganie kwa kila hali.

Ndima mama mkwe wa hapa bongo.

Nilikuandikia jana kwenye voda yako sijui umeizima? ngoja nikueleze vizuri..
Asante sana.!
 
Last edited by a moderator:
Mkwe, mimi mama niko nahangaika na maisha huku bongo
hebu niambie kuna nini tena huko kijijini, si unajua moshi ni mbali kuliko huko mliko
kiwatengu acha hizo, why not haukunitumia hata sms,
safari njema na Mungu awapiganie kwa kila hali.

Ndima mama mkwe wa hapa bongo.

mama huyu mwanao sijui vipi anapagawa hadi kasahau kukwambia,amelia sana hadi majirani wakaja kunisaidia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom