Mohamed Ngwasu
JF-Expert Member
- May 11, 2011
- 304
- 79
Mafilili huna jipya ukitaka kujua ccm wamekwisha hainiingii akilini kuona Jk anamteua Nchimbi kuwa waziri ile hali nchimbi jimboni kwake hawamtaki kabisa na wanalia na umeme hadi jana Chadema wameamua kuitisha maandamano kudai umeme.