Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Jazzband bin jazba tupu! mbona hamtuambii hilo Mwanahalisi limesema nini? tu(m) najadili upupu no wonder 70% of us ni bendera fuata upepo.
By the way hivi Saeed Kubenea ameshaacha kuwa mdini? maana kuna wakati alidai mawaziri waislamu katika cabinet ya Kikwete wanaandamwa kwa sababu ya uislamu wao. Na jamaa mkaja juu sana hapa, lakini leo kishakuwa overnight hero!.
Tanbihi: Soon you will be dissapointed huyo jamaa kwa mambo ya mshiko hajambo! ipo siku mtakuja sema Kanda2 alisema!
Uongo uliotukuka. Labda mji wa mkoa wako tu. Na labda kwa sababu mlichagua maisha bora kwa kila mdanganyika na mkapata the opposite kwa kutokua na miundombinu.
Mwaka huu anakuja tena huko kwenu kwa ahadi zile zile na majuha mtampa. Kalagabaho.
Acha uongo huku mikoani hakuna hata nakala moja tunayokosa!pole sana haya magazeti yanasomwa dar es salaam peke yeke
mikoan hayafiki
Hongera sana na timu yako. Gazeti la MwanaHalisi la jana (25/08/2010) ni MOTO WA KUOTEA MBALI. MUNGU AZIDI KUWABARIKI. HAKIKISHENI LINAFIKA KILA KONA YA NCHI HII NA KWA SASA KATIKA KILA MIKUTANO YOTE YA KAMPENI.
LAZIMA NIWE MKWELI. GAZETI LENU LINATISHA. NI MUHIMU PIA KILA MWANAFUNZI NA MWALIMU HAPA NCHINI AKAPATA NAKALA YAKE KILA LINAPOTOKA SIKU YA JUMATANO.
Josephat Simon Sabi Sanda
Dar es Salaam
Tanzania
0659 28 19 64
Siunajua tatizo la waG!Jazzband bin jazba tupu! mbona hamtuambii hilo Mwanahalisi limesema nini? tu(m) najadili upupu no wonder 70% of us ni bendera fuata upepo.
By the way hivi Saeed Kubenea ameshaacha kuwa mdini? maana kuna wakati alidai mawaziri waislamu katika cabinet ya Kikwete wanaandamwa kwa sababu ya uislamu wao. Na jamaa mkaja juu sana hapa, lakini leo kishakuwa overnight hero!.
Tanbihi: Soon you will be dissapointed huyo jamaa kwa mambo ya mshiko hajambo! ipo siku mtakuja sema Kanda2 alisema!
Sada, you are right but, point of correction; ukali wa MwanaHalisi sio wiki hii pekee!
MwanaHalisi tofauti na magazeti mengine hutizami vichwa vya habari ndio ununue! Ukiwa karibu na kibanda cha kuuzia magazeti mara zote utasikia NIPE MwanaHalisi hata kabla ya kuona vichwa vya habari!
Kuchelewa ku-update ktk mtandao inawezekana ni business trick ili watu wapate hard copy. Lakini atleast siku hizi unaweza kulipata by the next day (alhamis)
Big up Kubenea!
Jana nilikuwa na kijana wangu mmoja nkamwambia ngoja nipate magazeti ya kimapinduzi apa ie raia mwema na mwanahalisi.
Jamaa akacomment akasema unajua ukiwa wasom soma hayo magazeti unaweza piga mtu ghafla.
Mda si mda tukaona STK imepita inaninginiza bendera ya chama tawala wanaelekea kwa kampeni
Naombeni URL ya Gazeti la Mwanahalisi....nimetafuta sipati kitu. Ahsanteni
ibaki hivyo hivyo ili wanaotaka habari za leo wanunue gazeti la leo waandishi waendelee kupata mkate
pole sana haya magazeti yanasomwa dar es salaam peke yeke
mikoan hayafiki
Nkunya,
Unachokisema ni kweli kabisa. Ila kwa upande wangu hilo la Tarehe 25/08/2010 lilikuwa nzuri kupita kiasi na ninaamini wataendeleza huo ubora wao bila kuchoka. Kama wengi walivyosema, kwa kweli wanahitaji kutiwa moyo sana. Ni sawa kabisa ili ununue MwanaHalisi huitaji kusoma vichwa vyao vya habari. Kuna Profesa mmoja hapa nchini anayeheshimika sana analipenda kuliko kawaida na huwa halikosi kila wiki.
Watanzania tuwaunge mkono kwa kulisoma hili gazeti kila wiki kwa ukamilifu wake na kuhakikisha kuwa tunalinunua kila wiki bila kukosa.