PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,202
- 8,784
Wakuu,
Ni ajabu na kweli.
.
Nimetumiwa ujumbe na taasisi ya Arusha-Mambo kuwa Mfanyabiashara Sabodo ametoa tshs 5M kwa familia ya Ismail, na tshs 5M kwa familia ya Denis, kama rambirambi zake kwa familia za marehemu wanamapinduzi na wapenda amani hao, waliouwawa na polisi mkoani Arusha.
Tunamshukuru sana Mh.Sabodo kwa salamu hizo ambazo tunaamini kuwa zitasaidia japo kwa kiasi fulani kuzifariji familia hizi, Mungu amzidishie mara mia…Amen.
Ni ajabu na kweli.
.
Nimetumiwa ujumbe na taasisi ya Arusha-Mambo kuwa Mfanyabiashara Sabodo ametoa tshs 5M kwa familia ya Ismail, na tshs 5M kwa familia ya Denis, kama rambirambi zake kwa familia za marehemu wanamapinduzi na wapenda amani hao, waliouwawa na polisi mkoani Arusha.
Tunamshukuru sana Mh.Sabodo kwa salamu hizo ambazo tunaamini kuwa zitasaidia japo kwa kiasi fulani kuzifariji familia hizi, Mungu amzidishie mara mia…Amen.