Sabodo anajipendekeza tu kwa CDM.
Hawezi kusaidia wafiwa kimya kimya kama wafanyavyo wengi wenye pesa zao?
Mpaka apige tarumbeta???
Huo ni msaada wa kisiasa na kisanii. Ni unafiki, pia ni kuwadhalilisha wafiwa.
Shame on him.
We naye umezidi kila siku ni kupinga tu, hujui kama kutangaza umesaidia ni kutoa hamasa na kwa wengine wazidi kusaidia? Mungu ameona na sisi wanadamu tumeona, mie nadhani si mbaya kutaja kitu ulichosaidia. Na kuwasaidia wafiwa si kuwadhalilisha maanake pengine marehemu wameacha mke, watoto, kwa hiyo kiasi hicho cha pesa chaweza kuwasidia katika maisha yao japo kidogo.