hapa ndo nlipokuwa nawaza....chama cha dola!!!!Wapo matajiri wengi sana ambao wanatamani kuchangia lakini hawana ujasiri wa kufanya hivyo kwa hofu ya chama dola
hizo pesa ziende zikasaidie wagombea ubunge basi... so tunafurahia hafu zinakoishia hatujui. wagombea hawajapewa sapoti kabisa.
Kumbukeni huyu Mzee Sobodo ndio aliungana na kina Makamba kuwatukana Mwalimu Nyerere Foundation mara baada ya ule mjadala wa Karimjee ambao baada ya kupata ukweli JK akafikia kuwatukana wasaidizi wake kwa kumdanganya.....[/SIZE]
NAomba wajuzi wanijuze..
Hivi hizi sheria mpya za matumizi ya fedha katika kampeni zinasemaji kuhusu kiasi cha fedha ambazo mtu mmoja anaweza kuchangia? Milioni 100 haijazidi kiwango?
Kumbukeni huyu Mzee Sobodo ndio aliungana na kina Makamba kuwatukana Mwalimu Nyerere Foundation mara baada ya ule mjadala wa Karimjee ambao baada ya kupata ukweli JK akafikia kuwatukana wasaidizi wake kwa kumdanganya.....
Wahindi wengi wamekuwa wakiendeleza mbinu za kifisadi serikalini mwetu kupitia ccm ambayo inawakumbatia. Mtu kama Sabodo anageuza mtazamo huo kuwa si Wahindi wote ambao si Wazalendo.Gabachori anapokuwa mzalendo... hapo ndipo utaipenda chadema na unafiki wao!