Penologist
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 788
- 1,904
Waziri wa afya wingereza,amethibitisha kupata corona baada ya kudungwa chanjo kikamilifu,Magufuli was very right,in fact magu ni nabii aliye pita.
Acha dharau na dhihaka mkuu. Njia yetu sote ni mojaHuyu ndio jiwe kaoza haraka hivi miezi minne mtu anaoza kweli na misindano yote aliyopigwa
Anaweza kutoboa mahakama za ccm lakini kwa wananchi hatofika mbali! Utanambia
Sumu wala huo si mkwara. Ndo hali halisi hapa nilipo!Acha mikwara wewe.
Sumu wala huo si mkwara. Ndo hali halisi hapa nilipo!
Hata akiachiwa huru, bado maisha yake mtaani yatakuwa magumu sana...Huyu jamaa naamini akihukumiwa kifungo bado kuna adhabu nyingine za vifungo zitaendelea kumfuata huko gerezani, maana haya mashtaka mapya dhidi yake hayawezi kumuacha salama, na wale wajinga wanaomtetea wajiandae kumsaidia kutumikia sehemu ya hivyo vifungo kama wanampenda sana.
"..makaburi yetu yapigwe viboko..."Sabaya ni copy tu,nyuma yake yupo jiwe! Jiwe anastahili adhabu zaidi hata kama yupo kaburini.
Mashahidi pia ni mateja wa mbowe, wakiulizwa maswali tu wana lala mbele,Wapambe wenyewe ni wale wachovu waliokuwa wanafaidika na bia za kupora
Waliandika eti wanaona moshi mweupe!😝😝😝😝😝Nina hakika kabisa kuwa huyu Sabaya safari hii hatoboi, licha ya wale wapambe wake kumpigania kuwa nguvu zote😁
Tatizo la hao wapambe na Mataga wake wanampigania kwenye mitandao,utafikili mitandao ndiyo imemshitaki.Nina hakika kabisa kuwa huyu Sabaya safari hii hatoboi, licha ya wale wapambe wake kumpigania kuwa nguvu zote😁
juzi si kaachiwa huru? why?
Sasa ninyi mtashinda Vita ipi,maana maadui zetu Ni wengi Hadi waliokwisha toweka kwenye upeo wa macho yetu bado mnapambana nao ,Bure kabisa ninyi wafuasi wa mboyeSabaya ni copy tu,nyuma yake yupo jiwe! Jiwe anastahili adhabu zaidi hata kama yupo kaburini.
JPM anawashinda tu na bado kalalaSasa ninyi mtashinda Vita ipi,maana maadui zetu Ni wengi Hadi waliokwisha toweka kwenye upeo wa macho yetu bado mnapambana nao ,Bure kabisa ninyi wafuasi wa mboye
Alishupaza shingo sasa karibia inavunjika.Tulionya sana lakini tukapuuzwa
Ni sawa Mkuu. Je huku uraiani atakuwa huru? Je yale matambo na ubabe bado ataendeleza huku uraini??Acheni kupoteza muda Wenu fanyeni Kazi za Kuendeleza Familia zenu Kimaendeleo huyu Ole Sabaya hatofungwa na Kesi zote atazipangua ila mtazugwa kwa Yeye kuwa huko Rumande mpaka pale Tukio Kubwa na Baya litakapoandaliwa 'Kimkakati' na Wananchi wengi kuhangaika nalo Kulijadili kwa Mihemko na Kudemka kisha Yeye anaachiwa Huru.
Huyo lema mwenyewe kama mkimbizi. Mkimbizi ni Zaidi ya mfungwa,Kamanda Lema alimuonya chalii akaona anakanyaga mawingu...sasa alie na NUHU
Aisee na mimi nilikuwa naomba nakuamini hivyo lakini wasiwasi umeniingia pakubwa sana! Hii mara case ifuatwe mara hakimu atoke kule nk.Nina hakika kabisa kuwa huyu Sabaya safari hii hatoboi, licha ya wale wapambe wake kumpigania kuwa nguvu zote😁
KamfufueWaziri wa afya wingereza,amethibitisha kupata corona baada ya kudungwa chanjo kikamilifu,Magufuli was very right,in fact magu ni nabii aliye pita.