Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,167
- 6,099
Wanasheria wa jf,, kwa maswali haya na majibu semeni chochote na nyie ili akina sie nao tujuwe
Hujui unachoandika. Na pengine wewe ni mmoja wa hawa maripota uchwara. Unadhani kuripoti kesi ni kunakili kila anachosema mshtakiwa tu? Haya mambo yamekuzidi kimo hivyo huwezi kujua.
Lzm iteleze kauza kambi…..miti yote huteleza..!!
Hata kama akiwa nayo access, hapo ameshakwepa siku ya tukio hakuwa na silaha, anadai ameanza kuimiliki mwezi mmoja baadae.Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi ya Wilaya ana access na bunduki/ bastola au hana?
dah,we kumbe hujielewi!Unajua ameshtakiwa kwa kosa gani?
Hujajibu swali!dah,we kumbe hujielewi!
Huyu jamaa ni mpumbavu wa mwisho kabisa na hao mawakili wake ni washenzi sana labda wanamwacha aangamie tu.Hii case naona Sabaya anaenda kufungwa, Kwanza maelezo yake yanajichanganya sana, mwanzo alisema alienda kwenye duka la shahadia store akiwa kwenye oparesheni maalum ambayo alitumwa na mamlaka za juu, huku kwenye utetezi anakana kuwa hapajui huko
Bwashee samahani. Hivi una taaluma ya sheria hata ngazi ya cheti. Au hata paralegal?Huyu kijana atakuwa huru soon!
Kosa la kumng'oa Gaid Hai!Hujajibu swali!
Maswali ya kijinga huwa hayajibiwi.hata mimi nisingekujibu.Hujajibu swali!
Hahahaaaa mbona hata mimi nimeshangaa anajibu vitu gani mahakamani? ?Kwa majibu anayotoa bora angekuwa anasema tu NO COMMENT
Hahahaaaa....... Ndio hivyo soon atakuwa huru!Maswali ya kijinga huwa hayajibiwi.hata mimi nisingekujibu.
pole shoga angu,tafuta bwana mwingine,Sabaya anafungwaKujua mwenendo wa kesi sasa hivi kwa kusoma kwenye mtandao, source ikiwa haya ma-TV online na mablogu ya kibongo huwezi kujua lolote. Hakuna maripota wenye uwezo wa kuripoti kesi. Kwa wale tuliokuwepo wakati wa kesi ya uhaini enzi za kina Mucadam, Murtaza Lakha etc watakubaliana na mimi. Hawa maripota wa hii kesi ya Sabaya ni vihiyo kabisa. Sijui kama kuna gazeti lenye waandishi wanaojielewa linaloripoti hii kesi. eg Raia Mwema
Mwaka jana kavamia aishi hotel akiwa na bastola n smg clip ipo....kwahiyo bastola kapata mwaka huukweli jambazi hana akili kama baba yakeHuyu kijana atakuwa huru soon!
Hahahaaaa mbona hata mimi nimeshangaa anajibu vitu gani mahakamani? ?
Au anataka kujifanya chizi ahukumiwe kupelekwa milembe maanaake sioni kwa vyovyote vile kama hiyo ni strategy ya kujinasua
Toka amekua mkuu wa wilaya bastola alikua nayo,alimpiga risasi baunsa club mwaka jana,alivamia hotel ya mbowe mwaka jana akiwa na smg clip zipoHii case naona Sabaya anaenda kufungwa, Kwanza maelezo yake yanajichanganya sana, mwanzo alisema alienda kwenye duka la shahadia store akiwa kwenye oparesheni maalum ambayo alitumwa na mamlaka za juu, huku kwenye utetezi anakana kuwa hapajui huko