Hii vita yako na Mungu ni yako peke yako...Majority tunatamani kumcha na kumpendeza kila kukicha.Where will he come from?......well if he exist then hope he has good excuse for his unnecessary, weak and destructive existence.
Hii vita yako na Mungu ni yako peke yako...Majority tunatamani kumcha na kumpendeza kila kukicha.Where will he come from?......well if he exist then hope he has good excuse for his unnecessary, weak and destructive existence.
NonesenseMtu anaweza kuishi bila ya kuwa na Mungu lakini Mungu hawezi kuishi bila ya uwepo wa watu.
Usikute tunajadili na candidate wa mirembe!So Mungu anatutegemea sisi ili yeye awepo?
Buhahahahaha hahahahahhaUsikute tunajadili na candidate wa mirembe!
Ndio mkuu,tupo watu wa kila aina humuUsikute tunajadili na candidate wa mirembe!
Hiyo ni fallacy ya Argumentum of Ad MisericordiamHujafika hata robo ya aliyopitia Ayubu halafu unalalamika hivyo...
Sasa hv uumzima mpaka upo jamii forum, kuna watu wako ICU wanaomba wapate muujiza walau wa kuwa kama wewe.
Mshukuru sana Mungu kwa namna ulivyo, wakati ulionao ni sasa. Na katika kumshukuru huko ndiko baraka hushuka. Yamkini kuna fursa kibao hapo ulipo sema shetani amekuziba macho usizione ili maisha yawe magumu ili uendelee kumkufuru muumba wako.
Thats Argumentum of ad baculumWaweza fikiri ni sifa mbele za watu kuzungumza haya, Mwisho wa siku hatima ya maisha yako yako mikononi mwake. Without asking for God presence this life feels so empty even if u have all the "material richness".
Mark my word as we continue to live in this life u will come realize that nothing in this life will quench ur thirst until you come across the LIVING WATER(Jesus Christ).
Sidhani kama kuna mahala nimemtisha mtu, the truth will remain that we are created for the sake of glorify our Almighty God and only that.Thats Argumentum of ad baculum
Ad baculum ni Hoja zinazotumia nguvu, tishio la nguvu, au upendeleo mwingine mbaya ili kuwafanya wasikilizaji wakubali hitimisho. Inaonekana kama suluhisho la mwisho wakati ushahidi au hoja za busara zinashindwa kumshawishi msomaji.
Umeshindwa kujikita kwenye hoja umeanza kumtisha mtoa hoja kwa kumuapia viapo ambavyo havina msaada wowote katika hoja zake
Kiufupi hujafanya jitihada yeyote kuvunja hoja zake kimantiki zaidi ya vitisho
Kwani uongozi ndiyo chanzo cha umasikini au watu?Kwanini iwe chanzo cha umasiki africa wakati hatuongozi nchi zetu kwa kutumia dini?
Mkuu wapi nimesema nafuata mkumbo?Tumia akili si kufuata mkumbo....eu dini ipo far east dini ipo kwa hii galaxy kila kona yake pana dini so wapi unapata ujinga kusema Africa umaskini umesababiswa na dini???!
Dini imekufundisha kutukana watu?Usikute tunajadili na candidate wa mirembe!
Umejuaje?Mungu anapenda kuulizwa maswali bila unafiki, nyakati za mwisho utakuwa high table na Mungu ili akujibu maswali yako
Kwa maelezo yako inaonekana unajichukia wewe na SIO Mungu.Kuna maswali mengi kuhusu Mungu huwa najiuliza, mpaka SAA nyingine huwa namkasirikia Mungu (maybe nakufuru lakini acha iwe hivyo).Bcoz kwa ninavomuwazia Mungu ingekuwa ni heri nisingezaliwa.
1) Kama kweli Mungu ni upendo, kwanini aumbe jehanamu ya kutuchoma milele sisi tulio waovu (lyk for billions and trillions of years). Si heri angetumaliza tu kuliko kututesa milele? Kwenye shuhuda nyingine wakristo huenda motoni kwa dhambi moja tu ambayo hawakutubu. (I know hell was originally intended for the devil and his demons & not 4 humans)
2) Kwanini alimruhusu shetani kumjaribu Adam ikiwa alijua kuwa wanadamu wengi tutateseka duniani, tutaanguka maovuni, na atatutupa Jehanamu?
3) Kama Mungu anatuambia tukitenda dhambi na tusipomtii tutachomwa motoni, Je wakristo na waislamu (baadhi yetu) tutakuwa tunamtumikia Mungu kwasababu tunampenda na tunataka kumjua zaidi? au tutakuwa tunamtumikia kwasababu tunaogopa kwenda Jehanamu?
4) Mungu husema mawazo yake si kama ya kwetu, na njia zake zipo juu zaidi, nakubaliana na hilo. Maybe kutuchoma motoni it's in his nature, that's the way He is and we have to live with it.
5)All in all Mungu ana hekima kuliko mimi, coz ni muumba wa kila kitu. Maybe katika hekima yake yote, hii ndo decision bora aliokuja nayo. Labda ana reason nzuri behind all this ambayo mm siijui. Maybe Mungu mwenyewe akinijibu face 2 face, nitabadili mtazamo wangu kuhusu yeye.
6) Kingine kinachonikasirisha pia ni yeye kuruhusu mimi kuja hapa duniani, naona ni heri nguvu aliotumia kuniumba mimi angetumia kufanya kitu kingine, nachukia + najuta kuwa hapa duniani to see all this, dunia imejaa waovu (mm nikiwa mmoja wapo) pamoja na mateso ya kila namna.
Haya ndo mawazo yangu nimeamua ku-share nanyi, najua hata povu linitoke vipi it won't change the facts. Samahani kwa ntakaekuwa nimewakwaza humu jukwaani, naamini Mungu alishayajua mawazo yangu kuhusu yeye toka kitambo. So im just keeping it real.
Daha kweli maana amembiwa pitahuku huko ni kubaya afu unasema namchukia ienieza kwamba kunakuzuri na kubayaKwa maelezo yako inaonekana unajichukia wewe na SIO Mungu.