Chungu cha bibi
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 525
- 166
Unatongozwa ili uchapwe tu...
Ni njia ya kipumbavu ya kuonesha manhood yao. Kwamba asipokutongoza utamdharau
Nashindwa kuelewa ni kwanini wanaume mnapenda kutongoz kila mwanamke? unakuta ankutongoza unamwambia mimi ni mke wa mtu lakin bado anang'ang'ania kukutongoza. Badilikeni acheni hizo tabia mnakera sana.
Hakuna sababu ni u-kiboro dinda tu, dushe mkononi papuchi kwa jirani
mtu kama ni mke wa mtu kwnn umtongoze? Na amekwambia hataki
Kutongoza ni sunna hasa mke wa mtu. Kwani hujui kutongoza na k#mt♡mb@ mke wa mtu ni raha sana?
Kama inakukera kaa pembeni atongozwe mwingine
Ooooh! ES, tena na tena.... mmh nimeshindwa kustahmili !!Hakuna sababu ni u-kiboro dinda tu, dushe mkononi papuchi kwa jirani