Sababu za wanaume kutongoza kila mwanamke

Sababu za wanaume kutongoza kila mwanamke

Kwani kuna haja ya kuwatongoza hawa viumbe miaka hii. Hiyo kazi niliacha mda mrefu sana. Wanatoa bila kuombwa, sasa unapoteza mda iweje.

Sitongozi mimi, I set the plaque she comes to unveil then I launch it officially.
 
ahahhahaha baraka ya kutongozwa The Boss? mmmmm hiyo kali kwanza kutongozwa mie naona mtu anakutia dhambi...

Una shida ya kutafuta mafao mfano NSSF
halafu bosi wao anakutongoza
huoni kazi imekuwa rahisi hapo hata kama humtaki?
 
Tunatongoza kwa sababu mnakubali. Tena hao wake za watu ndio mteremko kabisa basi tu tumeshika dini.
 
Mtu kama ni mke wa mtu kwnn umtongoze? na amekwambia hataki

unajaribu tena kwa msisitizo labda she is playing hard to get!!!!! ingekua kila ukitongoza mara ya kwanza mtu akikataa unaachana nae utapata mtu kweli labda machangu!!! mke wa mtu kwan inaisha kama ufutio?
 
Napenda sana mabinti wenye offensive gesture ambao unaweza kumtongoza hata miaka mitano bila kuonesha dalili ya kukubalia ilihali moyoni akiugulia 'niangusaje'

ahaaa.... "isambi sote ni sa kwako.." niliikutaga pande
za kina Mnyalu kamwene mnogage.
 
kutongozwa ni faraja ya moyo...msipotongozwa amkawii kwenda kuturoga kwa waganga
 
Ukiona unatongozwa jua kabisa huwa unatengeneza mazingira ya kutongozwa,au lah wewe bado hujakua...yaani hujui dalili za mtongozaji ili umkatate maini mapema
 
Back
Top Bottom