Sababu za wanaume kutongoza kila mwanamke

Sababu za wanaume kutongoza kila mwanamke

Unapotongozwa ni ishara bado unalipa
hujazeeka sana


Unaonaje wanaume wakikuona wawe wanakupa tu shikamoo
halafu wanamtongoza shosti wako au housegirl wako?
utajisikiaje?

Vitu vingine ni baraka hujui tu......
ahahhahaha baraka ya kutongozwa The Boss? mmmmm hiyo kali kwanza kutongozwa mie naona mtu anakutia dhambi...
 
wanawake hamna jema.mkitongozwa mnalalamika,msipotongozwa mnaenda kwa waganga na makanisani kuombewa
 
Ni njia ya kipumbavu ya kuonesha manhood yao. Kwamba asipokutongoza utamdharau

Ni kweli lakini hata wanawake baadhi yenu ukikaanaye muda mrefu bila japo kumdanganya kwamba umemmaidi atakusema tu. Imewahi kunitokea mimi baada ya kusafirina na binti moja tukiwa tumekaa kiti kimoja toka Iringa mpaka DAR tukiongea mambo mbalimbali lakini yooote nje ya mahusiano alinisema kwa jamaa waliokuja kunipokea ambao kumbe walikuwa wanafahamiana kikazi kwamba nina kasoro ya umanhood. Ilibidi nimprove wrong baadaye
 
Nashindwa kuelewa ni kwanini wanaume mnapenda kutongozaa kila mwanamke? Unakuta anakutongoza unamwambia mimi ni mke wa mtu lakini bado anang'ang'ania kukutongoza.

Badilikeni acheni hizo tabia mnakera sana.

Sababu ya wanaume kutongoza kila mwanamke ni tamaa tu ya kutaka kila aina ya mwanamle anayemuona na kuvutiwa naye machoni.
 
Napenda sana mabinti wenye offensive gesture ambao unaweza kumtongoza hata miaka mitano bila kuonesha dalili ya kukubalia ilihali moyoni akiugulia 'niangusaje'
 
Wanawake wengi siku hizi beki hazikabi kabisa...yaani ukimtania tu amejaa
 
mimi nafikiri wanawake wa siku hizi wanavaa kimtengo mtego tu vinguo vya kuchoresha miili yao kama wanajiuza vile hata kama ameolewa lakin bado anavaa vibaya kwanini usitongozwe wakati ww ndo source wa hayo nawashauri mlioolewa mjiheshimu kwa kuvaa vizuri na mthamini ndoa zenu ili tuone utofauti wa single lady na mke wa mtu ni hayo tu
 
Nashindwa kuelewa ni kwanini wanaume mnapenda kutongozaa kila mwanamke? Unakuta anakutongoza unamwambia mimi ni mke wa mtu lakini bado anang'ang'ania kukutongoza.

Badilikeni acheni hizo tabia mnakera sana.


---- we. Nani kakwambia mke wa mtu hatongozwi? Umeolewa jana nn? Jinga kabisa!!
 
Unapotongozwa ni ishara bado unalipa
hujazeeka sana


Unaonaje wanaume wakikuona wawe wanakupa tu shikamoo
halafu wanamtongoza shosti wako au housegirl wako?
utajisikiaje?

Vitu vingine ni baraka hujui tu......

Nitongoze bas boss nickie raha mie cjatongozwa mda jmn mpk najishtukia lol
 
cjapanic naongea ukwl muwe mnavaa pete za ndoa nanyie acheni utapel
 
Nashindwa kuelewa ni kwanini wanaume mnapenda kutongozaa kila mwanamke? Unakuta anakutongoza unamwambia mimi ni mke wa mtu lakini bado anang'ang'ania kukutongoza.

Badilikeni acheni hizo tabia mnakera sana.

Muna maumbile tofauti na sura tofauti.
Lingine ni mwendelezo wa kujihakikishia ka bado unakubalika kwa wanawake. Ni tabia yetu kutongoza, hata wewe ulitongozwa na kwavile mwanamke kwa asilimia kubwa hawezi kutongoza, itabidi mwanamme uanza kazi ya kumtongoza.
Sasa wewe ulitaka hao wengine wakale polisi au unasemaje?
 
Jibandike Tangazo kifuani kwako na mgongoni linalosomeka hivi: "Mimi nimeolewa,usinitongoze tafadhali" uone kama kuna mtu atakutongoza, labda asiyejua kusoma.
 
Kwani kuna haja ya kuwatongoza hawa viumbe miaka hii. Hiyo kazi niliacha mda mrefu sana. Wanatoa bila kuombwa, sasa unapoteza mda iweje.
 
Back
Top Bottom