wote uliowataja hawaishi meru.kwa wameru hili ni jambo kubwa.lakini ni lazima tujue meru ni jimbo lenye wamasai na wameru kwa wingi hata hivyo sikumbuki ni lini mmasai aliwahi kushika jimbo hili!
Mgombea Sioi, Baba ni Mmeru na Mama ni Mmasai(Ilboru). Ila sijui kwa nini mkuu unaangalia sana kabila wakati wazazi wa Sioi hawakuusisitiza ndiyo maana mdau mmoja anadai Sioi hajui 'kilugha'.
Jimbo la Arumeru linahitaji mbunge makini kama mgombea wa CHADEMA Bw. Nassari kutokana na sera makini za chama cha CHADEMA kutaka kuleta mabadiliko jimboni na nchini kwa ujumla, na siyo kwa vigezo la 'kabila','kilugha','urithi', rushwa na ufisadi.