meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
- Thread starter
- #21
umeshaambiwa wale wachache ( wenye kadi za ccm) waliopata nafasi ya kupewa hela ndiyo walipiga kura za kumchagua sioi , otherwise walio wengi (haijalishi chama) hawaifiki hilo.
mkuu nimeongea na mwanaccm amekiri kwamba fedha iliwazidia nguvu katika uteuzi huo.