dah kama ni mizoga tunakula sana aisee mfano nyama hizi za polini zinazouzwa mitaani, mtu anatega mtego wake mnyama ananasa mpaka anafia katika mtego, au mnyama anaweza kupigwa then anakwenda kufia mbali, mwindaji anaweza kumtafuta hata siku mbili ndipo anampata sehemu kafa, hvyo nao unakuwa mzoga
kuna baadhi wanakula na kuna baadhi hawali na sio hizo tu bali hata products kama mikanda, nguo, viatu na chochote kile ambacho kimetokana na kupotea kwa uhai wa kiumbe fulani
Mbona vitabu vitakatifu vinasema watu walikuwa wakimtolea mungu sadaka zakuteketeza( mostly wanyama) lkn mungu aliridhika nazo, pia mbona watu walikula nyama tangu enzi za uyahudi?
barafu monks wanapokuwa seminary wanafundishwa skills zote kikiwemo kilimo tiba, ufundi, sayansi teknolojia, mawasiliano, saikolojia na philosophia. hii ni kwasababu wanaenda kuitumikia jamii. chuoni sisi tulikuwa na mashamba makubwa tu ya hekari nyingi na yalitumika kama shamba darasa.
afadhali hata hao kuliko wanaojifia kwa magonjwa ndugu yangu, unakuta lundo la nyama buku 3 tuu hapo kuna walakini
Bahati mbaya imani zilizotangulia kuja Africa zimejenga "concervertism"miongoni mwa wanaozifuata kiasi cha kuogopa kujifunza nje ya box. Kimsingi Vegetarianism inasaidia body and soul ila imani zilizotangulia zime base kwenye soul zaidi.
Mbona vitabu vitakatifu vinasema watu walikuwa wakimtolea mungu sadaka zakuteketeza( mostly wanyama) lkn mungu aliridhika nazo, pia mbona watu walikula nyama tangu enzi za uyahudi?
Meditation ni dini? Are you serious mkuu au umependa tu kuchangia? Meditation is human nature, ukilala ni meditation, ukiota ndoto that's meditation, yoga ni part ya meditation. Meditation technique ya kukaa na kufocus on your breath and not to think about Anything ipo map aka mahospitalini, ipo kwenye ukristu, Judaism, Islam all religions zamani zilifahamu umuhimu wa meditation kuleta amani, labda waliokuelekeza walikuwa na udini.
Ila naamini wapo viongozi wa dini wanakataza waumini wasimeditate, sio kwamba ina udini, meditation ni practice ya zamani sana tangu mababu na mababu, tatizo ukimeditate sana waweza kuwa enlighted na kuwa na hekima na ufahamu mkubwa zaidi hata ya viongozi wako wa dini. Some priests na religious people wanaogopa kuwa enlighted na kupotosha kwa kuwaambia wengine kuwa meditation is pagan. Meditation is human nature.
Sijawahi sikia kuwa meditation ni udini. Ni sawa na kusema kufanya mazoezi ni ubaunsa tu. Meditation ni sawa na kurefresh akili, kuondoa negative thoughts, connect your soul, know your self, open your energies, focus on your heart, be one with your mind n.k
Hata mahospitali na watu wa afya wanashauri. Unless ulipata mwalimu mdini na asiyejitambua.
Hapo kwenye "bold" hakuna kitu kama hicho!!!
Monks halimi! Monks hapiki!
Kuna watu maalumu wanawapikia!
Monks wote huwa hawatoki kwenda kuomba chakula bali wanaenda nje sehemu maalumu wanasimama na jamii inaenda pale kuwapa chakula. Ni wajibu wa jamii japo si lazima. Jamii inaamini kuwapa chakula wanapata thawabu!!!
Sijawahi kuona "Monks" mwenye nywele!
Usisahau kwamba huwa kuna watu wanatumikia dini yao kwa muda wa miezi mitatu. Huwa ni mtu pengine ameoa, anakazi yake n.k ila anaenda kuishi maisha ya kimonki kwa muda huo mfupi tu! Usichanganye mkuu!
Mkuu nataka kufanya hiyo nisaidie hatua zake....
Buddhist monks wanavaa mashuka ya njano/orange (inasemekana bila kufuri?). Sijaahi kuona wakivaa viatu, sana sana malapa na mara nyingi huwa wanatembea pekupeku!
Mkuu nimeshindwa kujaribu kukuelekeza juu ya baadhi ya Maisha ya Monks uliyoamini ndio monks wanaishi. Zipo video mbalimbali YouTube au tembelea BuddhaNet utapata vitabu na mafunzo mbalimbali.
Na kuhusu suala la Buddhist monks lazima wakate nywele nilijua lazima ungenibishia kuwa kukata nywele ni sheria, lakink sio wote hufanya hivyo na sio sheria. Inategemea na sect. Kama hujawahi kuona real Buddhist monks wenye nywele kawatafute monks wa Tibet wanaitwa Ngakpa. Ni monks asili yao ni Tibet. Hawakati nywele wala kuzichana kuashiria kuachana na image za kidunia kuwa lazima uwe na nywele zilizochanwa au nywele katika fashion fulani badala yake wanaacha nature ifanyike mpaka kichwani kwani nywele ni part ya mwili kama part nyingine. Buddhism haijasema nywele ni unlawful. Buddha alikata nywele zake kwa upanga na kuanza zikue upya kuashiria safari mpya ya kuwa Buddha baada ya enlightenment. Monks wengine hukata ili kuwa free kichwani hasa katika meditation na kuondoa self attachments. Na waweza ondoa au kijitenga na tamaa za attachments hata kwa kuziacha bila kuzichana. Kila mtu ana purpose yake.
barafu monks wanapokuwa seminary wanafundishwa skills zote kikiwemo kilimo tiba, ufundi, sayansi teknolojia, mawasiliano, saikolojia na philosophia. hii ni kwasababu wanaenda kuitumikia jamii. chuoni sisi tulikuwa na mashamba makubwa tu ya hekari nyingi na yalitumika kama shamba darasa.
Nahisi utakuwa unazungumzia chuoni ufilipino!
Hata kama wanafundishwa kilimo lakini ni mwiko kwao kulima! Wao kazi yao ni kutoa huduma kwenye "temples" n.k
hapana mi nimekaa temple za Bronkhorspruit, Durban Souh Africa, Fo Kuang Shan Taipei Taiwan Ipo na Surabaya Malaysia ni hivi ukiwa monestry lazima ujifunze skills zote ila unapofikia hatua ya kuwa mtawa kamili ndio unahudumiwa na disciples hapa ndipo ambapo labda hatukuelewana
Buddha alikata nywele?! Alikuwa na nywele kama za hawa wafuasi wake walizonazo leo hii?
Angalia "statue" zake zinanywele za aina gani! Endelea ku-Google ujue asili ya Buddha, japo wenyewe wanaoamini hiyo dini wanakataa....kwakuwa "hakuna kizuri kinachotoka Afrika"....
Hapa tumeelewana sasa. Asante sana. Wewe ni mwalimu mzuri.
Nikweli Monks (si wote) huwa wanafundisha jamii jinsi ya kuishi n.k. Kuna Monks mmoja ni kichwa wa IT!
hapana mi nimekaa temple za Bronkhorspruit, Durban Souh Africa, Fo Kuang Shan Taipei Taiwan, Ipoh na Surabaya Malaysia ni hivi ukiwa monestry lazima ujifunze skills zote ila unapofikia hatua ya kuwa mtawa kamili ndio unahudumiwa na disciples hapa ndipo ambapo labda hatukuelewana
Mhh. Ngoja turudi nyuma kidogo...
Mkuu Ukisema Buddha na Gautamaa ni mtu mmoja lakini state mbili tofauti. Gautama ni jina la Buddha, ambaye alikuwa ni prince Wa kingdom tajiri na baba yake alibahatika kuwa na mtoto mmoja tu, akampa kila kitu na raha zote. Jina lake lilikuwa ni Guatama. Lakini wazee wa kale wenye wisdom walimwambia kuwa Huyo mtoto atakuwa Buddha. Baba yake akabisha kwani hakupenda mtoto wake awe monk bali alitaka awe prince tajiri na kumpa raha zote za dunia ili asitamani kuwa monk. Baada ya Buddha kujifunza kuwa duniani kuna magonjwa, vifo na sufferings roho yake ikamfanya atamani kujua nini chanzo cha shida za dunia hii (mpaka hapa Buddha alikuwa na kijana mwenye nywele ndefu za fashion za kawaida).
Akaacha raha zote, akaondoka kwa baba yake bila kitu chochote kuanza safari ya kuutafuta ukweli wa maisha. Baada ya meditation na mafundisho aliyojifunza katika maisha akawa enlightened.
Nywele unazomuona nazo kwenye picha, na statues zake ni baada ya kuzikata nywele zake kwa upanga kuashiria new journey ya kuutafuta ukweli wa maisha.
Na unaposema wanaokataa hiyo dini sijajua unamaanisha nini. Fahamu kuwa Buddha alizaliwa katika kingdom iliyoaminika ni Asili ya Ethiopia. Kingine Buddhists hawana ubaguzi wa rangi juu ya waafrika. Please naomba usiwe mmbishi bali jaribu kuelewa.
N.B Buddha ni tittle au sifa na sio Gautama tu ndio Buddha. Buddha means the enlightened. Hata wewe waweza kuwa Buddha.