Sababu za vegetarians kutokula nyama

Sababu za vegetarians kutokula nyama

Mimi pia ni mmoja katika ya watu ambao hawali nyama. Mwanzoni nilifanya kutokana na Imani Yangu, lakini kwa sasa naona umuhimu na faida yake hata kwa nje ya Imani.

Sio tu Buddhism, Hinduism, Rastafaris, Ethiopian Monks, Nazarenes(Jews), na ancient Egyptians hata ukristu kuna makundi yasiyokula nyama hasa ukristu wa kale ulielewa umuhimu wa vegetarianism.

Kihistoria, imani za kale zilianza kuuliza kwanini sisi wanadamu tupo hapa duniani? Nini kinachotutofautisha na wanyama na mimea? Hivyo watu waliokuwa ENLIGHTENED kama Krishna, Buddha, Waisraeli wa kale, waliona umuhimu wa kuishi kwa Amani. Sio kuishi tu kwa amani na mwanadamu mwenzako bali kwa viumbe vyote. Haina haja ya kumpiga mnyama bila sababu na baadaye wakaona hata kumpiga mnyama haitoshi, ili kuwa na amani na kuweza kuboost Third Eye, Karma, na kubalance Chakras zako, Ishi kwa kutoua mnyama kabisa. Kila kiumbe kina haki ya kuishi.

Mimea ndio source ya kwanza ya chakula then Nyama ni Secondary source. Haina haja ya kumchinja mnyama na kumla wakati kuna vyakula vingi haviitaji kuua kiumbe. Tunapaswa kuishi kwa kuheshimu all aspects of life duniani. Kuna sababu nao wakaishi hivyo yanini niwaue, nao husikia maumivu, wanyama wanahisia ambazo hata sisi tunazo mfano upendo, huhisi maumivu, n.k lakini pia nao wanahaki kuhishi. Sisi wanadamu tuna akili ya kuwatunza na kuwajali kwani wote tumeumbwa pamoja.

Tatizo ni ego ya mwanadamu kuwa sisi ndio kila kitu na kila uhai wa kiumbe tunaweza kuutoa. Kuwa vegetarian kunakupa sio tu afya ya mwili hasa katika miaka ya vyakula vya madawa bali hata inatupa afya kiroho na kiakili. Ni vigumu kumuelezea mtu. Lakini ni kitu ambacho hakiitaji Kiongozi wa dini, wala kitabu cha dini, ni kitu kitokacho kwa hisia, hisia ya upendo tuliyozaliwa nayo sisi wanadamu kutoka aliyetuumba.
viumbe wote ni rahisi kuwahurumia,,lakini nyoka kwa kweli siwezi
 
Siku ya Vegan Duniani inaadhimishwa
Novemba 1 kuhamasisha watu kufuata mtindo wa Maisha wa kula mboga mboga na kueneza ufahamu kuhusu Veganism

Veganism ni Mtindo wa Maisha unaopanua falsafa ya kupiga marufuku uuzaji na ulaji wa Wanyama hivyo Mtu anayeiishi falsafa hii huitwa Vegan

Kulingana na Jumuiya ya Vegans , Mtindi huu wa maisha hunufaisha afya, hulinda ustawi wa wanyama na kulinda mazingira.

Jumuiya hii pia huadhimisha Siku hii ili kusisitiza tabia ya Lishe ya Kijani

Lishe ya Kijani inamaanisha Chakula kisichojumuisha Nyama na Bidhaa za Wanyama kama vile Maziwa na Mayai
 
Hapa nazungumzia wale ambao hawali nyama kiimani na si wale ambao hawali kwasababu za kiafya tofauti na ukristo na uislam, dini kama buddhism, krishna nk wanaamini sana katika karma ya kila kiumbe na uwepo wake katika uso wa dunia, kwamba bata, mbuzi, samaki, punda na chochote chenye uhai kuna sababu maalum ya kuwa hivyo kilivyo.

Kwahiyo huwezi kutoa uhai wake kwa ajili ya shibe yako, utakuwa unajitengenezea karma mbaya, yani leo ukimuua mnyama ukala nyama yake next reincarnation yeye atazaliwa binadamu na wewe mnyama halafu atatenda kama wewe ulivyotenda imani hii imezama mno mioyoni mwao kiasi kwamba ni ngumu mno kuwakuta wanakula nyama. Kuna mazingira ambayo yanaweza kuwafanya wale nyama nayo ni.

1.Hawakushuhudia mnyama akichinjwa/akiuliwa

2. Hakuchinjwa kwa ajili yao.

3. Isiwe ni nyama kwa ajili ya biashara, hapo anaweza kula na karma isimdhuru kila imani ina uchizi wake, kuna mavegetarian ambao kwa compassion kwa viumbe hufagia kabla ya kukanyaga ili wasiwadhuru viumbe.

Aiseeeeee Imani ni kitu cha hatari saaaana asikwambie tu.
 
Exactly mkuu. Hata hasira na egoism zinaisha unapokula chakula kisicho na umwagaji damu.
Ulaji wa Nyama pia huleta kisiriani na manung'uniko. Safari ya wana wa Israel kutoka Misri kwenda nchi ya ahadi njiani walikuwa na manung'uniko saaana kisa hawakupata kitoweo cha Nyama! Wakafikia hatua ya kusema, ni heri wangebaki Utumwani wakila nyama na maziwa kuliko mateso wanayoyapata njiani kuelekea nchi ya ahadi.
 
Hapa nazungumzia wale ambao hawali nyama kiimani na si wale ambao hawali kwasababu za kiafya tofauti na ukristo na uislam, dini kama buddhism, krishna nk wanaamini sana katika karma ya kila kiumbe na uwepo wake katika uso wa dunia, kwamba bata, mbuzi, samaki, punda na chochote chenye uhai kuna sababu maalum ya kuwa hivyo kilivyo.

Kwahiyo huwezi kutoa uhai wake kwa ajili ya shibe yako, utakuwa unajitengenezea karma mbaya, yani leo ukimuua mnyama ukala nyama yake next reincarnation yeye atazaliwa binadamu na wewe mnyama halafu atatenda kama wewe ulivyotenda imani hii imezama mno mioyoni mwao kiasi kwamba ni ngumu mno kuwakuta wanakula nyama. Kuna mazingira ambayo yanaweza kuwafanya wale nyama nayo ni.

1.Hawakushuhudia mnyama akichinjwa/akiuliwa

2. Hakuchinjwa kwa ajili yao.

3. Isiwe ni nyama kwa ajili ya biashara, hapo anaweza kula na karma isimdhuru kila imani ina uchizi wake, kuna mavegetarian ambao kwa compassion kwa viumbe hufagia kabla ya kukanyaga ili wasiwadhuru viumbe.

Mimea sio viumbe hai na wanakula
 
Kwa sababu za kutoa uhai ,kwani mimea haina uhai ?
1698993316651.jpg
 
Niwafafanulie kuhusu mimea.Mimea ni kweli ina uhai kwa sababu ina zile seven characteristics of living things.
Ila ina moja ambayo iko tofauti na wanyama.Ina very low irritability.What is irritability now
Irritability is the ability to respond to stimulus
Kwa mmea hii iko taratibu mno
Mmea ukiukata hausikii maumivu,mmea hauna feeling mfano kulia kukasirika.
Ninaposema very low irritability nitoe mfano ukiukata tawi moja au wote ili uote mwingine inachukua muda.
Mmea ukiuweka kwenye giza inachukua siku kadhaa kuinama kufuata mwanga ulipo.
Mizizi ya mimea kukiwa na mbolea mahali flani ile mizizi yake itaelekea kule mbolea ilipo lakini inachukua muda mrefu.
Nadhani mmenielewa hawa wenye hizi imani wako sawa kutokana na sababu hizi
 

Attachments

  • photostropism.PNG
    photostropism.PNG
    36.4 KB · Views: 14
Niwafafanulie kuhusu mimea.Mimea ni kweli ina uhai kwa sababu ina zile seven characteristics of living things.
Ila ina moja ambayo iko tofauti na wanyama.Ina very low irritability.Mmea ukiukata hausikii maumivu,mmea hauna feeling mfano kulia kukasirika.
Ninaposema very low irritability nitoe mfano ukiukata tawi moja au wote ili uote mwingine inachukua muda.
Mmea ukiuweka kwenye giza inachukua siku kadhaa kuinama kufuata mwanga ulipo.
Mizizi ya mimea kukiwa na mbolea mahali flani ile mizizi yake itaelekea kule mbolea ilipo lakini inachukua muda mrefu.
Nadhani mmenielewa hawa wenye hizi imani wako sawa kutokana na sababu hizi
Asante sana kwa huu ufafanuzi.. Nimeongeza kitu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kuna faida nyingi sana za kuwa vegan...kwa hapa dsm ni rahisi coz mbogamboga na matunda ni bei rahisi..tofaut na wenzetu....nakuhakikishia utaishi miaka mingi na mwili wako utaimarika..mi nmesoma testimonies za many vegan..MTU Ana miaka 70 utasema ana 30 ....
mboga za bonde la msimbazi hizi na matunda yanayoivishwa kwa umeme % kubwa ya mboga za majani jiji la dar mchicha na chainizi etc zinapigwa dawa sana na zinaota kwenye mabonde ambayo maji taka ya viwanda yavaelekezwa yapite
 
Back
Top Bottom