Sababu za kutumbuliwa aliyekuwa Katibu Mkuu Nishati na Madini

Jamani hata kama huna akili kiasi gani huwezi fikia hitimisho la huyo anayejiita mhandisi. 90% iwe madini? Au hesabu za % hazipandi. Hata kama hao wawekezaji wakijaza dhahabu walizochimba kwenye makontena na kuchanganya na mchanga kidogo huwezi jaza makontena 256!!! Ni wazo la kipumbavu kabisa.
eti dhahabu imejaa keenye container 90% huyo kakoko hewa ana jua density ya dhahabu??

sasa je ikibainika hao wawekezaji ni wadanganyifu ni hatua gani za kimkataba serikali itazichikua?? nasubiri kwa hamu. isije kuwa kama drama za sukari
 
Jamani hata kama huna akili kiasi gani huwezi fikia hitimisho la huyo anayejiita mhandisi. 90% iwe madini? Au hesabu za % hazipandi. Hata kama hao wawekezaji wakijaza dhahabu walizochimba kwenye makontena na kuchanganya na mchanga kidogo huwezi jaza makontena 256!!! Ni wazo la kipumbavu kabisa.

Halafu kontena lenye dhahabu 90% unaliinua na crane ya aina gani? Unless mhandisi hajui uzito wa dhahabu ulivyo!
Nadhani alitaka kusema ana uhakika 90% na sio kwamba kontena lina dhahabu 90%
 
Duh!! Hapa engineer Kakoko kweli anatudanganya. Jinsi dhahabu ilivyo ghali kama container 90% dhahabu maana yake thamani ya container moja itakuwa matrilion.
Jamani hata kama huna akili kiasi gani huwezi fikia hitimisho la huyo anayejiita mhandisi. 90% iwe madini? Au hesabu za % hazipandi. Hata kama hao wawekezaji wakijaza dhahabu walizochimba kwenye makontena na kuchanganya na mchanga kidogo huwezi jaza makontena 256!!! Ni wazo la kipumbavu kabisa.
 
naye Kakoko unatuangusha wahandisi bana.

yaani kweli unajifanya hujui kuwa value iliyomo ndani ya 0.02% gold content inaweza kuwa million times gharama za logistics za ku-export concentrates (aka mchanga)?

kweli ninaendelea kuamini sumu ya genge la kijani/njano ikikupitia ufahamu wote unatoweka!!
 
Hata Wewe hujui kuna tofauti ya Mchanga wenye Madini na Madini?
Jokes mkuu usichukulie serious ila nadhani pia lugha waliotumia kidogo ina ukakasi... kimsingi hata mchanga ni madini hao huyo Mhandisi angesema ana uhakika huo mchanga una dhahabu au copper na sio mchanga una madini wakati mchanga wenyewe ni madini pia (na ndio maana malori yanayobeba mchanga wa kujengea yanasimamiwa na watu wa madini katika ukusanyaji ushuru kwa baadhi ya maeneo)
 
Huyo Mhandisi Kakoko wamemquote vibaya au anatafuta umaarufu. 90 % ya madini kwenye mchanga!!?
Mkuu hawajam-quote vibaya ndivyo alivyosisitiza kwamba kwenye makontena yote 256 na yale 20 yamejaa dhahabu 90% na alipoulizwa yeye amejuaje na ana uhakika gani kuwa ni madini na siyo mchanga anasema wao ni watendaji wa serikali! Hoja ya kipumbavu kabisa,, ina maana ukiwa mtendaji wa serikali ndo unakuwa na kipimo cha kupimia makontena kwa macho! Lakini cha ajabu anapoambiwa na Katibu mkuu kwamba waunde timu ya uchunguzi anagoma sijui kuna nini hapo!
 
Halafu kontena lenye dhahabu 90% unaliinua na crane ya aina gani? Unless mhandisi hajui uzito wa dhahabu ulivyo!
Nadhani alitaka kusema ana uhakika 90% na sio kwamba konyena lina dhahabu 90%
Mhandisi amesahau yale mambo yetu ya form 2 ya density ya vitu mbalimbali, ndio wahandisi wetu hao tulionao mkuu, kuna wengine enzi ya Mv Bukoba walitoboa meli kumtoa mtu mmoja wakasahau kuna issue ya Archmedes principle ambayo mtoto mdogo anaweza akai-apply hata kama hajafika elimu ya kule (by the way huyo mhandisi anakula na kipofu ila sio kwa 90% angalau hata angesema 40%)
 
Mikataba yote mibovu ya nchi hii imewekwa na mnaowaita wasomi. Watanzania wasio na elimu hawajawahi kuitwa mafisadi ila wasomi wetu wabobezi ndio mafisadi mno
Rejea Lugumi mkuu ana usomi upi??
 
Kakoko na Bosi wake hawajui tofauti ya Madini na Mchanga wenye Madini wao wanajua ni kitu kimoja!
Ukiwafundisha Tofauti wanakufukuza kazi !

CAG nae akikabidhi report ya CAG Leo Ikulu kapewa kazi ya kufuatilia Hilo Skendo la Madini na akampiga biti kuwa akimaliza CAG ataunda Timu ya siri isiyojulikana ichunguze.


Analazimisha Majibu
Teh teh teh teh
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Tatizo elimu ya Madini sio tako! Eti kila mtu analo. Tulieni wataalamu rais kasema atatuita na kwenda ukoooo kumfanyia utafiti. Kasema atatugawa makundi makundi kama matatu hivi. Mhandisi kakoko piga kazi. Huyo alietaka kuunda tume ya uchunguzi alikuwa wapi toka mdau aagize? After all sio jambo hata la dk 10 kujua nn kimo kwa kontena. Iwe mchanga, makapi,machicha au maandazi lazima ijulikane.
 
Jamani hata kama huna akili kiasi gani huwezi fikia hitimisho la huyo anayejiita mhandisi. 90% iwe madini? Au hesabu za % hazipandi. Hata kama hao wawekezaji wakijaza dhahabu walizochimba kwenye makontena na kuchanganya na mchanga kidogo huwezi jaza makontena 256!!! Ni wazo la kipumbavu kabisa.

Nadhani alimaanisha ana uhakika 90% kuwa mchanga una madini zaidi ya hiyo 0.02 ilivyoripotiwa.

Waandishi wetu si unajuwa walivyo makanjanja.
 
Hapana hawajamquote vibaya nilimsikia jana kwenye taarifa ya habari tena akisema kwa msisitizo kuwa ni 90% Gold, nilibaki nikishangaa
Watu wamekua wakitafta sifa za kijinga tu yaani mtalamu wa madini anaeleza facts afu uyo anaeleza vitu vya kufikirika, 90% ya gold itembee barabarani na maroli hata bila ulinzi. Ebu watendaji wetu watulie kwenye professional zao watu wa madawa waongelee madawa, madini waongelee madini etc.
 
Eng wa Bandari ajui chochote kuhusu madini,ameingiza taifa chaka, uelewa wake kuhusu madini ni mdogo mno na ndio mana Prof Ntalikwa alikataa kuburuzwa.
Scanner ni metal detective sio metal analyzer , mwisho wa siku uyu Eng itakula kwake kama kweli tutatenda haki.
Njia pekee ya kutenda haki ni kuchukua sampuli na kuzipima , toka ile juzi tungezipeleka SGS mbona tungekuwa tumeshapata majibu , au tungezipeleka TMAA ,au Mahabara ya madini Dodoma, au SEAMIC mana ukweli ni kuwa mkemia mkuu ana mahabara ya madini.
Siungi mkono kusafirishwa nje ya nchi ,lakini kuna maneno ya kijiweni yameingizwa ktk huu mchanga kuwa tunaibiwa jambo ambalo sio kweli.Makontainer yapo hapo bandalini yakiwa yameshalipiwa kodi stahili
 
Jamani hata kama huna akili kiasi gani huwezi fikia hitimisho la huyo anayejiita mhandisi. 90% iwe madini? Au hesabu za % hazipandi. Hata kama hao wawekezaji wakijaza dhahabu walizochimba kwenye makontena na kuchanganya na mchanga kidogo huwezi jaza makontena 256!!! Ni wazo la kipumbavu kabisa.
Kwani madini ni nini mkuu kabla hatujaendelea na mjadala!!!?
 
Back
Top Bottom