Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,402
- 7,310
Alafu kale ka Heche kanajaza wafuasi wake ujinga kule FBBaada ya kauli hiyo, Spika alimhoji mwakilishi wa TMAA “kwa kufikiri kwako unadhani kuna mwekezaji anaweza kufanya biashara kwa faida ya 0.02? Atoe gharama za meli, usafiri na bandari.”
Alijibu haiwezekani.