Dan Zwangendaba
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 5,478
- 7,458
Kimsingi atasababisha taharuki, lakini mwisho wa siku hatachukuliwa hatua yoyote kwa kuwa ni "chaguo" na huenda homeboy. Huyu DG ni bashite mwingine. Inawezekana kweli wazungu wakawa wabatuibia, lakini sio kijinga kiasi hicho. Asilimia 90 ya container la dhahabu alitie kwenye Meli???Hapana hawajamquote vibaya nilimsikia jana kwenye taarifa ya habari tena akisema kwa msisitizo kuwa ni 90% Gold, nilibaki nikishangaa