Sababu za kumbwaga mpenzi wangu Mwanasheria

Namaanisha kwamba ilibidi nifanye reference google, ili kuona kama 26 anafaa kuitwa kid or not.

Ungenijulisha mapema nisingehangaika kufanya hivyo.
Hahaha yeah inajulikana kid yuko kuanzia 17 kushuka chini, ila kuanzia 18 na kuendelea huyo ni matured kabisa.

Ila nashangaa kwa JF ni tofauti
 
Hahaha yeah inajulikana kid yuko kuanzia 17 kushuka chini, ila kuanzia 18 na kuendelea huyo ni matured kabisa.

Ila nashangaa kwa JF ni tofauti

JF siyo tofauti, ni same same pia.

Sema kuna maneno tunayatumia bila kuhakiki maana halisi ya hayo maneno, ndo tunajikuta tunakosea.
 
Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.

Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.

Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.


Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?

Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.


Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.

Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.


Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?

Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.

Demu anamjua Hadi Soko Sugi.


Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.

Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.

Demu anajua Hadi picha la Tridev.

Funny enough she was born in 1994.

Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.

She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"

Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?

After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.

Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.

Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"

Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.

And she replies: OOH REALLY???

Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
uzi tayari.
 
Samahani....anajua vitu kuanzia 94 kuja huku au hata hawa akina mzee mwinamila na mzee nyunyusa anawajua. Anamjua Ramadhani Lenny Abega anamjua Ahmed Amasha je anamjua Nico Zengekala vipi anajua kisa cha kufa kwa Robert Auko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umekuwa challenged mkuu umenywea

Hapo sioni tatizo kama binti yuko humble. Labda kama pia ana kiherehere. Kuna mabinti wanajua mambo mengi sana lakini pia wanajua mipaka yao na wana kiasi sana. Wanaheshimu maoni ya wengine pia. Na mimi binti akijua mambo mengi ndiyo hasaa sifa mama kwangu. Hata humu JF wapo japo huwezi kujua mpaka umzoee....

View attachment 1422744
Hahaha kumbe, napenda sana wanaume wenye akili, nilidhani kwa vile mimi bwege nazi hivyo nataka kucompensate ujinga wangu kumbe ni hali inatambulika kisayansi kabisa loh
 
Kweli wanaume mtachomwa na moto wa petrol , juzi tu mlisema mnataka wanawake kwenye matako makubwa.

Mkalala usingizi kuamka mkasema wanawake kwenye matako makubwa hawana akili, wana probability kubwa ya kuzaa watoto vilaza.
Leo wanawake wanasheria wajuaji sana hawafai kwa kuoa.

Rafiki yangu alinambia ukifika wakati wa kuoa ni lazima ataoa mwanasheria, akikosekana atalazimika kula doctor.

Nikamuuliza sababu akajibu hawa ndo wanawake wenye akili ambao wana uwezo mkubwa wa Ku argue. Anasema anataka akiongea kitu sometimes apate challenge.

Wewe umepata mwanamke kichwa unafanya kazi unamkataa

Wewe ni nani kumkataa mdada wa hivyo😂😂😂
 
Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.

Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.

Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.


Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?

Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.


Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.

Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.


Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?

Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.

Demu anamjua Hadi Soko Sugi.


Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.

Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.

Demu anajua Hadi picha la Tridev.

Funny enough she was born in 1994.

Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.

She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"

Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?

After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.

Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.

Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"

Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.

And she replies: OOH REALLY???

Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
Ungeongeza maarifa kupitia yeye.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom