Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,391
- 83,892
Yeah, 100%.Nimeipitia hiyo post yako mara mbili, nahisi uko sahihi.
Yeah, 100%.Nimeipitia hiyo post yako mara mbili, nahisi uko sahihi.
Amu siriazi.A yu siriazi?
Bakia salama mpendwa; na naomba damu ya Yesu Kristu ikulinde dhidi ya Korona wewe pamoja na wapendwa wako wote
Yeah, 100%.
Amu siriazi.
Ikawe hivyo na kwako pia.
Hapo mwisho sijakusoma rafikiThanks, nimeelewa.
Ulitakiwa kunieleza straight kwenye post, maana ilibidi niende chimbo kuhakiki.
Hapo mwisho sijakusoma rafiki
Hahaha yeah inajulikana kid yuko kuanzia 17 kushuka chini, ila kuanzia 18 na kuendelea huyo ni matured kabisa.Namaanisha kwamba ilibidi nifanye reference google, ili kuona kama 26 anafaa kuitwa kid or not.
Ungenijulisha mapema nisingehangaika kufanya hivyo.
Hahaha yeah inajulikana kid yuko kuanzia 17 kushuka chini, ila kuanzia 18 na kuendelea huyo ni matured kabisa.
Ila nashangaa kwa JF ni tofauti
uzi tayari.Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.
Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.
Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.
Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?
Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.
Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.
Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.
Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?
Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.
Demu anamjua Hadi Soko Sugi.
Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.
Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.
Demu anajua Hadi picha la Tridev.
Funny enough she was born in 1994.
Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.
She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"
Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?
After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.
Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.
Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"
Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.
And she replies: OOH REALLY???
Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
Hahahaaa
Hahaha kumbe, napenda sana wanaume wenye akili, nilidhani kwa vile mimi bwege nazi hivyo nataka kucompensate ujinga wangu kumbe ni hali inatambulika kisayansi kabisa lohUmekuwa challenged mkuu umenywea
Hapo sioni tatizo kama binti yuko humble. Labda kama pia ana kiherehere. Kuna mabinti wanajua mambo mengi sana lakini pia wanajua mipaka yao na wana kiasi sana. Wanaheshimu maoni ya wengine pia. Na mimi binti akijua mambo mengi ndiyo hasaa sifa mama kwangu. Hata humu JF wapo japo huwezi kujua mpaka umzoee....
View attachment 1422744
Hahaha kumbe, napenda sana wanaume wenye akili, nilidhani kwa vile mimi bwege nazi hivyo nataka kucompensate ujinga wangu kumbe ni hali inatambulika kisayansi kabisa loh
Kweli hii chunviFor a 1994 kid, that is exaggeration.
Kasoma wapi?Hapana mkuu, kuna mmoja namfahamu ni lawyer pia same age kama anayemzungumzia mleta mada, anajua karibia kila jambo na atakukosoa.
Ungeongeza maarifa kupitia yeye.Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.
Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.
Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.
Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?
Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.
Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.
Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.
Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?
Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.
Demu anamjua Hadi Soko Sugi.
Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.
Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.
Demu anajua Hadi picha la Tridev.
Funny enough she was born in 1994.
Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.
She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"
Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?
After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.
Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.
Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"
Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.
And she replies: OOH REALLY???
Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much