Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,647
- 79,055
Eeh sasa najifunza kituBut historic wise Kushites wametokea Middle East (Sumeria) ndio maana walipofika Afrika waka settle Misri,Nubia na kuna wakati wakatawala mpaka Yemen/Kuwait za enzi hizo za ma-Pharaoh.
Kush anaongelewa kama mweusi sababu mama yake alikua typical black (Neitam'uk) and of course descendants wa Cush walikua black hata leo. So it can be suggested either alitoka mweusi kma Mama yake ama Naye alioa mweusi typical so dark became darker or rather baada ya kusettle Afrika maybe rangi zao zikawa darker kuliko mwanzo.