Sababu za kufichwa kwa kitabu cha Enoch

Mkuu hicho kitabu enoki aliagizwa aandike na kuhifadhi kwa vizazi vijavyo,kizazi kilicholengwa ni hichi cha sasa ambacho kila kitu kitajulikana.

Na alivihifadhi ndani ya pyramid of giza, wana theologia walivikuta huko, ndio pyramid kubwa ambayo enoki aliijenga yeye mwenyewe sio wamisri.
Eeh hebu funguka
 
Huu uzi umenifanya nitulie nijifunze kitu! Yaani Mungu huyu ni Mwisho wa yote, yaani anamweka malaika amlinde mwanadamu wakati akijua malaika naye ataingia majaribuni kwa kutegwa na warembo!?

Du dada zetu kweli nyie ni nouma I see!
Ushuzi
 
Back
Top Bottom