masaga ndoshi
Member
- Apr 3, 2015
- 46
- 81
Umekitoa wap na mimi naomba bsNimekisoma chote hicho kitabu kina siri nyingi sana ambazo hazijulikani
Umekitoa wap na mimi naomba bsNimekisoma chote hicho kitabu kina siri nyingi sana ambazo hazijulikani
Eeh hebu fungukaMkuu hicho kitabu enoki aliagizwa aandike na kuhifadhi kwa vizazi vijavyo,kizazi kilicholengwa ni hichi cha sasa ambacho kila kitu kitajulikana.
Na alivihifadhi ndani ya pyramid of giza, wana theologia walivikuta huko, ndio pyramid kubwa ambayo enoki aliijenga yeye mwenyewe sio wamisri.
Na Mungu aliye tuumba Aingii akilini utuumba sisi afu unaliumba na Lishetan ..Tumesalitiwa na nani ?...na kwenye nini ?
UshuziHuu uzi umenifanya nitulie nijifunze kitu! Yaani Mungu huyu ni Mwisho wa yote, yaani anamweka malaika amlinde mwanadamu wakati akijua malaika naye ataingia majaribuni kwa kutegwa na warembo!?
Du dada zetu kweli nyie ni nouma I see!