Kama ni demu, wengi wao wakibip, ukapiga baada ya dk 5 hivi utakuta namba inatumika. Ina maana aliwadipu kadhaa, na kati yao kuna ambaye ameshapiga...sizipendi!kila siku unakuta mtu anakubip!halafu anasema alitaka kukusalimia!!kwani huwa kuna salio kwa ajili ya kubip!!!au akisha ongea na wengine ndo anibip mimi!
Kama ni demu, wengi wao wakibip, ukapiga baada ya dk 5 hivi utakuta namba inatumika. Ina maana aliwadipu kadhaa, na kati yao kuna ambaye ameshapiga...
hapo ndo hasira hunipanda na kuifuta namba!hasira ikiisha naanza kuitafuta namba kwa marafiki!Kama ni demu, wengi wao wakibip, ukapiga baada ya dk 5 hivi utakuta namba inatumika. Ina maana aliwadipu kadhaa, na kati yao kuna ambaye ameshapiga...
na hata kama wana hela hawapigi!!Madem wameathirika zaidi na kubip. Nafikiri kuna haja ya kufanya utafiti wa kisayansi hapo.
Mkuu! Beyond the limit.
na mwingine anakubip harafu anasema alitaka kujua kama namba iko hewani!Kuna raia wanakera mno, kama hauna salio la kunipigia ili unisalimie piga kimya. Ukishindwa nitumie sms.
Zaidi ni hawa kina dada, Loh!
yero supai doi! epa papalaai doi! eeh taa doi! haaaya! nidipu!
Hahahahahaaa... Huna haja ya kufanya hivyo mkuu. We ukiona hivyo unaandika msg kuwa una dharura kubwa unataka kumuona. Akimaliza kuongea akakuta msg yako akabip tena unapiga unamwambia kuwa unataka uonane nae fasta. Mkionana unamgegeda kwa hasira, na hapo unakuwa umemuwahi huyo hawara wake mwingine. Ata kama ataenda kumpa, but we ushakula...hapo ndo hasira hunipanda na kuifuta namba!hasira ikiisha naanza kuitafuta namba kwa marafiki!
Hahahahahaaa... Huna haja ya kufanya hivyo mkuu. We ukiona hivyo unaandika msg kuwa una dharura kubwa unataka kumuona. Akimaliza kuongea akakuta msg yako akabip tena unapiga unamwambia kuwa unataka uonane nae fasta. Mkionana unamgegeda kwa hasira, na hapo unakuwa umemuwahi huyo hawara wake mwingine. Ata kama ataenda kumpa, but we ushakula...
Je! akitolea nje appointment.
natamani niwaweke watu kwenye hiyo list,lkn inakuwa inajulikana kwa anaye kupigia!ninataka program inayoweza kufanya hata simu yake isijaribu kuita au kuonesha busy!Huwa namuweka kwenye "black list".
aaaagh!!kuna mtu alikuwa ananisumbua kwa upuuzi huo!kila siku unamwambia umekosea namba,baada ya siku anabip tena!ukimpigia ''wie nani'Au mwingine anakubip, ukimpigia anakuuliza "wie nani"