Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,803
- 15,318
Kwa akili zao wanajua hapo Chadema ipo madarakani sasa na watashitukia 2025 hii hapa wanapokea kipigo kikali tena.
CCM mpya ya awamu ya tano haikuishia kuongoza kwenye kuwaletea maendeleo watanzania tu mbali iliongoza pia kwenye kutoa misamaha ya dhati kwa wanachama wake waliofanya makosa mbalimbali kwenye chama kipindi hicho.
Miongoni mwa misururu ya wanufaika wa misamaha hiyo ni pamoja na makamu mwenyekiti mpya bwana KINANA, wengine ni Nape, Makamba, Ngeleja, Sofia Simba etc.
Kwa hiyo porojo zinazoenezwa na wanasiasa uchwara waliofilisika kichwani wa CHADEMA kwamba CCM ya Dk Bashiru, Dk Magufuli na Polepole iliongoza kwa ukatili wa kufukuza watu siyo kweli na ushahidi upo hadharani
Hivi ulishawahi kukaa na kujiuliza taifa la Tanzania lingelekea wapi bila ujio wa hayati Magufuli kama rais?
Hivi ulishawahi kujiuliza kama Magufuli angefariki kwenye mwaka wake wa kwanza wa urais kingetokea nini?
Kama leo baada ya hayati Magufuli kukaa madarakani kwa miaka 6 kuna watu wanakuja kuponda miradi ya ndege, SGR, Bwawa la mwl Nyerere je vipi kama angeisaini tu na kufariki dunia hao wapondaji wangesema nini?
Vipi kama Magufuli angefariki kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 si Chadema wangezusha kwamba Magufuli amekimbia kipigo cha Tundu Lisu kwenye sanduku la kura?
Leo Corona imepuuzwa duniani kote na sasa wananchi wote wanafuata falsafa za hayati Magufuli lakini bado kuna baadhi ya Chadema wanashupaza shingo na kupuuza misimamo ya Magufuli, je ulishawahi kujiuliza ingekuwaje kama Corona ingeingia Tanzania tukiwa hatuna Magufuli?
Mungu alimtuma Magufuli kutuvusha kisha akamchukua na kwenda zake
CCM mpya ya awamu ya tano haikuishia kuongoza kwenye kuwaletea maendeleo watanzania tu mbali iliongoza pia kwenye kutoa misamaha ya dhati kwa wanachama wake waliofanya makosa mbalimbali kwenye chama kipindi hicho.
Miongoni mwa misururu ya wanufaika wa misamaha hiyo ni pamoja na makamu mwenyekiti mpya bwana KINANA, wengine ni Nape, Makamba, Ngeleja, Sofia Simba etc.
Kwa hiyo porojo zinazoenezwa na wanasiasa uchwara waliofilisika kichwani wa CHADEMA kwamba CCM ya Dk Bashiru, Dk Magufuli na Polepole iliongoza kwa ukatili wa kufukuza watu siyo kweli na ushahidi upo hadharani
Hivi ulishawahi kukaa na kujiuliza taifa la Tanzania lingelekea wapi bila ujio wa hayati Magufuli kama rais?
Hivi ulishawahi kujiuliza kama Magufuli angefariki kwenye mwaka wake wa kwanza wa urais kingetokea nini?
Kama leo baada ya hayati Magufuli kukaa madarakani kwa miaka 6 kuna watu wanakuja kuponda miradi ya ndege, SGR, Bwawa la mwl Nyerere je vipi kama angeisaini tu na kufariki dunia hao wapondaji wangesema nini?
Vipi kama Magufuli angefariki kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020 si Chadema wangezusha kwamba Magufuli amekimbia kipigo cha Tundu Lisu kwenye sanduku la kura?
Leo Corona imepuuzwa duniani kote na sasa wananchi wote wanafuata falsafa za hayati Magufuli lakini bado kuna baadhi ya Chadema wanashupaza shingo na kupuuza misimamo ya Magufuli, je ulishawahi kujiuliza ingekuwaje kama Corona ingeingia Tanzania tukiwa hatuna Magufuli?
Mungu alimtuma Magufuli kutuvusha kisha akamchukua na kwenda zake