Sababu ya Hasira za KAGAME kwa KIKWETE

Sababu ya Hasira za KAGAME kwa KIKWETE

Kagame ni wa kumpuuza na kuendelea na maisha yetu, kwani kuna shida gani kututukana kwani tunapungukiwa na kitu. Tuimarishe uchumi wetu tuendelee na maisha watatufata tu wenyewe na kupiga magoti. Tukijifanya vidume huku wanajua udhaifu wetu tutaumbuka bure. issue ya kongo kuna wazee wa dunia pale wapo kimya wanamirija yao.
 
Kagame ni lijinga tu,ni vema kumpuuza kama hatumuoni vile twende na hamsini zetu.
 
.

...kagame hana uwezo wa kumkasirikia JK... kagame akome...amkasirikie mkewe...sisi tutamhasi..pumbaf..
 
Naona watu, hawana hata chembe ya uzalendo, kagame njoo kachimbe tanzanite huku tz, embu fikiria mwanajeshi wa kimarekani anafanya ualifu, lkn kwa uzalendo wao, wanamtorosha alikofanya ualifu hadi nchini kwao ili wamuukumu, wenyewe, kagame hatukubali uje ututawale, tutakupiga, kama ni rahisi wetu ni mdhaifu, tutamshuhulikia wenyewe, umetumwa uanzishe vita ili mje mtubie madini yetu mkajenge nchi yenu hatutakubali kamwe, heri mafisadi kuliko wewe uje uchimbe madini yetu km unavyofanya congo
 
NAMPENDA RAIS WANGU Mh. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na nitasimama naye popote! Nitamtetea popote, SITAKUBALI HATA siku moja adhalilishwe na mtu yeyote! Yeye ni Rais wa Nchi aliyechaguliwa na wananchi; so kagame ajue habari za kwao aachane na mambo ya kwetu. Kama hataki ushauri wa hekima alipewa na Mh Kikwete auche lakini sio aendelee kutoa maneno ya kashfa; unless otherwise ana jingine!
 
Kagame anamtaka Jakaya Kikwete kwa Jina lake na familia yake wala sio Tanzania hivyo naunga mkono Kagame kumtwanga Mrisho Kikwete
Akili fupi hizi! au na wewe ndo nyie nyie watutsi mliojaa damu za watu mikononi mwenu!
 
wale wana ugomvi wao binafsi.wamechukuliana wanawake.wewe unajua mkuu wetu yupo na vimada kila kona.sasa ameingia pabaya safari hii.acha atwagwe tu,kazidi sana kujifanya kidume huyo
 
Hamkumuelewa Kagame alivyosema anamsubiri Kikwete Sehemu muafaka na Muda muafaka ampige sio hapa Tanzania huo mzigo utapigwa DRC maeneo ya Goma na Kivu kwa kivuli cha March23
 
Chagonja mwenyewe ni kati ya vyanzo vya taarifa za kijasusi kwa Kagame....muulizeni anayoyaonea kwenye pillow talk hudondokea masikioni mwa nani?
Si huyo tu, wapo wapo wengi huvujisha siri na mipango kwa vimada wa kitusi....ambao wengi wao ni planted na nyuma yao kuna watu wana scan taarifa na mienendo yao. Fikirisha kichwa.
 
Kagame anamtaka Jakaya Kikwete kwa Jina lake na familia yake wala sio Tanzania hivyo naunga mkono Kagame kumtwanga Mrisho Kikwete

Kweli kabisa. hakuna mahali popote ambapo KAGAME kaitaja TANZANIA, yeye ana ugomvi na mtu mmoja tu Jakaye mrisho kikwete.kwahiyo ni juu yake as individual kukutana na Kagame wamalizane.
 
Back
Top Bottom