Marco Seth
JF-Expert Member
- Oct 21, 2022
- 4,841
- 5,920
Salam wakuu. Bila kuwachosha
Kwa miongo kadhaa nimekuwa mtumiaji wa simu za hii kampuni ya Tecno
Binafsi sijaona tatizo lolote kama inavyosemekana
Kipindi flani niliwahi kununua simu ya Samsung baada ya kuona zinasifiwa sana ila kwa baadae nilikuja kuiuza baada ya kuona inakula sana moto
Hata hivyo sikuona Cha ajabu
Sasa Huwa nashangaa sana naposikia mtu anasema kwamba simu za Tecno au Infinix ni simu za wanawake
Nachotaka kujua ni je hizi simu Zina matatizo Gani
Je ni kitu Gani mtu mwenye simu ya Google pixel,Samsung,iphone ya milioni mbili anapata ambacho Mimi mwenye Tecno,Infinix ya laki mbili siwezi kupata
Au ni ulimbukeni wa kupata Hela ukubwani
NaamInakula moto kwamaana ya chaji au?
Kula moto ndo kitu gani???Nimesema niliiuza kwa sababu inakula moto sio kupata moto yote kwa yote naona hujajibu swali langu
Weka adaptive brightness mkuu 😄😄😄 wewe umekaa ndani mwanga umeweka full hv hamuumiag machoNaam
Naona Unazunguka tu mbuyu ila bado hujajibu swali languNdugu mwandishi ungekuwa na akili timamu wewe binafsi ungekubali kutumia tecno?
Umeniacha kwenye mataa mbona mi mwanga wa simu uko chiniWeka adaptive brightness mkuu 😄😄😄 wewe umekaa ndani mwanga umeweka full hv hamuumiag macho
Hahaha uongoKipindi flani niliwahi kununua simu ya Samsung baada ya kuona zinasifiwa sana ila kwa baadae nilikuja kuiuza baada ya kuona inakula sana moto
Sababu kuu ni kwamba simu za Tecno zipo chini kiubora kuliko simu za kampuni nyingine. Kwa mfano chukua flagship za Tecno fananinsha na za kamouni nyingine utagundua Tecno zipo nyuma kiteknolojiaSalam wakuu. Bila kuwachosha
Kwa miongo kadhaa nimekuwa mtumiaji wa simu za hii kampuni ya Tecno
Binafsi sijaona tatizo lolote kama inavyosemekana
Kipindi flani niliwahi kununua simu ya Samsung baada ya kuona zinasifiwa sana ila kwa baadae nilikuja kuiuza baada ya kuona inakula sana moto
Hata hivyo sikuona Cha ajabu
Sasa Huwa nashangaa sana naposikia mtu anasema kwamba simu za Tecno au Infinix ni simu za wanawake
Nachotaka kujua ni je hizi simu Zina matatizo Gani
Je ni kitu Gani mtu mwenye simu ya Google pixel,Samsung,iphone ya milioni mbili anapata ambacho Mimi mwenye Tecno,Infinix ya laki mbili siwezi kupata
Au ni ulimbukeni wa kupata Hela ukubwani
Kama sio mwanga basi umenunua Samsung matoleo ya zaman maana hata A series tu zinakaa na chaji ni 5000mAhUmeniacha kwenye mataa mbona mi mwanga wa simu uko chini
Ni kopo ni sawa na zile simu za copy za wachina wao wanacopy tu simu ya million na point mfano iPhone unakuta inauzwa laki au laki na 50.. ukija kuchunguza vizuri kumbe ni copy/kopoNaona Unazunguka tu mbuyu ila bado hujajibu swali langu
Nini Cha ziada kilichopo kwenye hizo kampuni mnazosifia
Mpaka Sasa Mimi ni mtumiaji wa Tecno
Kaka una uelewa kdg wa mambo ya electronics ? Mfano teknolojia zinazotumika, raw materials na finishing ? Kwamba unaona Samsung na Tecno ni sawa tu hakuna tofauti ? Unadhani bei za Samsung kuwa juu ni utapeli tu wanatuibia ? Hebu waza kwenye areas nyingine kidogo, mfano nguo, viatu, magari nk.. vyote ni sawa kiubora ? Mtu akikwambia amenunua shati karume kwa 10k, na mwingine kkoo kwa 18k na mwingine Posta kwa 100k hayo mashati yatakua sawa tu ? Au kuna haja ya kwenda details kdg kuona manufacturer ni nani na anatumia tech gani na material gani kujitofautisha na wengine, hebu kaulizie Mercedes maybach S class V12 na Crown, zote ni saluni, ushangazwe !Salam wakuu. Bila kuwachosha
Kwa miongo kadhaa nimekuwa mtumiaji wa simu za hii kampuni ya Tecno
Binafsi sijaona tatizo lolote kama inavyosemekana
Kipindi flani niliwahi kununua simu ya Samsung baada ya kuona zinasifiwa sana ila kwa baadae nilikuja kuiuza baada ya kuona inakula sana moto
Hata hivyo sikuona Cha ajabu
Sasa Huwa nashangaa sana naposikia mtu anasema kwamba simu za Tecno au Infinix ni simu za wanawake
Nachotaka kujua ni je hizi simu Zina matatizo Gani
Je ni kitu Gani mtu mwenye simu ya Google pixel,Samsung,iphone ya milioni mbili anapata ambacho Mimi mwenye Tecno,Infinix ya laki mbili siwezi kupata
Au ni ulimbukeni wa kupata Hela ukubwani
Tecno sio simu ni vile TBS hawapo kazini na pia inaonekana sio mtumiaji wa simu bora ndio maana hauna hoja..Samsung kwenye Electronics wapo mbali sana sana..Sasa mkuu kama lengo inakuwa kuringishia
Huoni kama kwa mtoto wa kiume kukaa na kuringishia simu inafanya watu tuanze kukufikiria mara mbili mbili