Sababu ni Nini simu za Tecno kunangwa

Sababu ni Nini simu za Tecno kunangwa

Kuna brand fulani ya Tecno naskia ina camera moja lakini kwa nyuma wameweka maduara 3 ili ionekane kama i phone kwa hiyo kuna asili fulani ya utapeli kwenye simu za tecno!!
 
Kipindi cha nyuma ulikuwa huniambii kitu kuhusu tecno.
Kuna siku nikasema ngoja nijaribu Samsung. Mpaka Leo siwezi kuja kurudia kutumia tecno hata bure.
Na sio kwamba Samsung nazo tumia zinapishana sana bei na tecno.
Samsung ni simu ya kazi ,hata utumie vip mashine haichemki wala kukwamq kwama kama hizo tecno
Tecno yangu iliponichoka ikaanza vituko:-
1. Inaganda tu bila sababu. Hata ukiipiga makofi wala haijali, hadi kichaa chake kikipoa ndo inaendelea na kazi
2. Kuna wakati inaweza ikaamua kuanza kujiwasha na kujizima yenyewe tu mara kadhaa
 
Ni ushamba na umaskini.
Mtu anayetumia Iphone copy number 4 au iphone fake anapata wapi ujasiri wa kumdharau mwenzake kama si magonjwa ya akili?.
99% ya iphone za Tanzania aidha ni fake, copy daraja la 3 na 4 au simu rejea
 
Back
Top Bottom