Sababu ni Nini simu za Tecno kunangwa

Sababu ni Nini simu za Tecno kunangwa

Godoro la kioo

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2025
Posts
364
Reaction score
727
Salam wakuu. Bila kuwachosha

Kwa miongo kadhaa nimekuwa mtumiaji wa simu za hii kampuni ya Tecno

Binafsi sijaona tatizo lolote kama inavyosemekana

Kipindi flani niliwahi kununua simu ya Samsung baada ya kuona zinasifiwa sana ila kwa baadae nilikuja kuiuza baada ya kuona inakula sana moto

Hata hivyo sikuona Cha ajabu

Sasa Huwa nashangaa sana naposikia mtu anasema kwamba simu za Tecno au Infinix ni simu za wanawake

Nachotaka kujua ni je hizi simu Zina matatizo Gani

Je ni kitu Gani mtu mwenye simu ya Google pixel,Samsung,iphone ya milioni mbili anapata ambacho Mimi mwenye Tecno,Infinix ya laki mbili siwezi kupata


Au ni ulimbukeni wa kupata Hela ukubwani
 
Simu mpaka kijijini imefika we unazani hata walitengeneza simu ya milioni 10 ni ngumu ile brand watu kununua.
 
Kipindi cha nyuma ulikuwa huniambii kitu kuhusu tecno.
Kuna siku nikasema ngoja nijaribu Samsung. Mpaka Leo siwezi kuja kurudia kutumia tecno hata bure.
Na sio kwamba Samsung nazo tumia zinapishana sana bei na tecno.
Samsung ni simu ya kazi ,hata utumie vip mashine haichemki wala kukwamq kwama kama hizo tecno
 
Back
Top Bottom