Godoro la kioo
JF-Expert Member
- Aug 2, 2025
- 364
- 727
Salam wakuu. Bila kuwachosha
Kwa miongo kadhaa nimekuwa mtumiaji wa simu za hii kampuni ya Tecno
Binafsi sijaona tatizo lolote kama inavyosemekana
Kipindi flani niliwahi kununua simu ya Samsung baada ya kuona zinasifiwa sana ila kwa baadae nilikuja kuiuza baada ya kuona inakula sana moto
Hata hivyo sikuona Cha ajabu
Sasa Huwa nashangaa sana naposikia mtu anasema kwamba simu za Tecno au Infinix ni simu za wanawake
Nachotaka kujua ni je hizi simu Zina matatizo Gani
Je ni kitu Gani mtu mwenye simu ya Google pixel,Samsung,iphone ya milioni mbili anapata ambacho Mimi mwenye Tecno,Infinix ya laki mbili siwezi kupata
Au ni ulimbukeni wa kupata Hela ukubwani
Kwa miongo kadhaa nimekuwa mtumiaji wa simu za hii kampuni ya Tecno
Binafsi sijaona tatizo lolote kama inavyosemekana
Kipindi flani niliwahi kununua simu ya Samsung baada ya kuona zinasifiwa sana ila kwa baadae nilikuja kuiuza baada ya kuona inakula sana moto
Hata hivyo sikuona Cha ajabu
Sasa Huwa nashangaa sana naposikia mtu anasema kwamba simu za Tecno au Infinix ni simu za wanawake
Nachotaka kujua ni je hizi simu Zina matatizo Gani
Je ni kitu Gani mtu mwenye simu ya Google pixel,Samsung,iphone ya milioni mbili anapata ambacho Mimi mwenye Tecno,Infinix ya laki mbili siwezi kupata
Au ni ulimbukeni wa kupata Hela ukubwani