Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,549
Hili tumekua tukilisema sana humu mara nyingi.
Sababu kubwa Rais Magufuli kushindwa na Wapinzani tena kwa kura nyingi sana ni Ugumu wa maisha aliousababisha yeye na serikali yake. Watu wote nchi nzima wanalia na maisha magumu mzee hasikii kabisa.
Mzee amekimbilia kuanzisha miradi mikubwa ambayo unatafunwa pesa nyingi sana kupelekea kupungua kwa mzunguko wa pesa kwenye biashara mitaani. Hii hakushariwa vyema lakini ndio itamuondosha mapema sana. Ugumu wa maisha unaumiza mtu mmoja mmoja ndio hawa watapiga kura.
UNAMPIGIA KURA MAGUFULI ILI IWEJE?
Hivi unaweza ukawa na sababu ya msingi kumshawishi huyu Mtanzania wa kawaida ambaye sasa anakula mlo mmoja kwa siku?
Utmwambia nini yule mama ambaye anapanga Nyanya zake barabarani kutwa nzima hata nusu ya misingi wa biashara yake hairudi?
Utamshawishi vipi Mfanyakazi huyu ampigie kura Magufuli ambaye hajamuongezea mshahara miaka yote 5? Ampende Magu kwa lipi hasa?
MAGUFULI AMEMPA LISSU USHINDI WA MAPEMA SANA
Kwanza Lissu utamshinda kwa halali, akikushinda huwezi kumpora haki yake. Labda akiwa Kitandani hoi ndio utampora haki yake kama walivyompora Ubunge wake akiwa kitandani Ubeligiji. Magu ana deni kubwa sana kwa Lissu kwa kutomuonyeshaau kutowapata waliomshambulia maana yeye ndiye Amiri jeshi mkuu. Hili deni kutampa shida na ndiyo moja ya sababu ya kushindwa vibaya uchaguzi huu.
LISSU ANA USHAWISHI NA MVUTO WA KISIASA ZAIDI KULIKO MAGUFULI
Hii ni sababu nyingine kubwa ndiyo maana mikutano yake inakaa sana bila kutumia wasanii wala vyombo vya habari, hapa ni kumshauri mzee ajiandae tu kisaikolojia.
Sababu kubwa Rais Magufuli kushindwa na Wapinzani tena kwa kura nyingi sana ni Ugumu wa maisha aliousababisha yeye na serikali yake. Watu wote nchi nzima wanalia na maisha magumu mzee hasikii kabisa.
Mzee amekimbilia kuanzisha miradi mikubwa ambayo unatafunwa pesa nyingi sana kupelekea kupungua kwa mzunguko wa pesa kwenye biashara mitaani. Hii hakushariwa vyema lakini ndio itamuondosha mapema sana. Ugumu wa maisha unaumiza mtu mmoja mmoja ndio hawa watapiga kura.
UNAMPIGIA KURA MAGUFULI ILI IWEJE?
Hivi unaweza ukawa na sababu ya msingi kumshawishi huyu Mtanzania wa kawaida ambaye sasa anakula mlo mmoja kwa siku?
Utmwambia nini yule mama ambaye anapanga Nyanya zake barabarani kutwa nzima hata nusu ya misingi wa biashara yake hairudi?
Utamshawishi vipi Mfanyakazi huyu ampigie kura Magufuli ambaye hajamuongezea mshahara miaka yote 5? Ampende Magu kwa lipi hasa?
MAGUFULI AMEMPA LISSU USHINDI WA MAPEMA SANA
Kwanza Lissu utamshinda kwa halali, akikushinda huwezi kumpora haki yake. Labda akiwa Kitandani hoi ndio utampora haki yake kama walivyompora Ubunge wake akiwa kitandani Ubeligiji. Magu ana deni kubwa sana kwa Lissu kwa kutomuonyeshaau kutowapata waliomshambulia maana yeye ndiye Amiri jeshi mkuu. Hili deni kutampa shida na ndiyo moja ya sababu ya kushindwa vibaya uchaguzi huu.
LISSU ANA USHAWISHI NA MVUTO WA KISIASA ZAIDI KULIKO MAGUFULI
Hii ni sababu nyingine kubwa ndiyo maana mikutano yake inakaa sana bila kutumia wasanii wala vyombo vya habari, hapa ni kumshauri mzee ajiandae tu kisaikolojia.