GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Kama kuna siku nilimwona Hamad Rashid kuwa ameishiwa na point ni siku ile ya mdahalo.
1.Alisema kuwa CUF ilipoteza watu 47, lakini CHADEMA haikuwasaidia, JE CCM iliwasaidia katika hilo?
2.Akajigamba kuwa yeye ni mwanasiasa mkongwe, tatizo halikuwa kuwepo kwenye siasa kwa muda mrefu au mfupi, tatizo lilikuwa kujibu hoja
CHADEMA iwe makini na CUF, hata kama wakaamua kushirikiana, wasije wakatoa siri zao kwa CUF. Ni chama ambacho kiko kwa ajili ya kudai haki au kuwasaidia wapemba basi. Hata Lipumba japo uwezo anao, anaburuzwa tu na wapemba. Wao wako tayari kuipata Pemba hata wakiikosa Tanzania
CHADEMA wanao toa siri ni wenyewe, si tumewaona wakina ZITTO wakimwaga mambo hadharani. Siku zote mie huwa nasema CHADEMA sio chama makini, ni watu waliojaa UDINI, UKABILA NA UBAGUZI HALI YA JUU. NA ISITOSHE UFUSKA KWA VIONGOZI NDIO USISEME AISEE !